Drama
gaidi ndio aliwadhibiti
gaidi 4 wao 1
Eleven !!! ,izrael gaidi mmoja anashikwa bilachenga na askari mmoja
Bado mnajitunuku aibu yenu
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Sema kwasababu hamza alikua mwanasiasa mwanaccmKwa sababu ya Hamza!
Alafu kwenye majibu yao ya uchunguzi wanasema eti hamza alijifunza matumizi ya silaha kupitia simu yake ya kiganjani kwenye mitandao ya kigaidi.Hhahah askari 11 vs hamza 1, jumlisha wale waliokufa , askari 15 vs hamza 1
hahahaha
Laki 5.PESA NGAPI??? ACHANA NA MAKARATASI.
ASKARI WENYE MAFUNZO 11?? VS HAMZA M1???
Lana ya kesi yambowe ndo inawatesa wanadhani mambo yao yatawatoa watanzania barabaraniHamza ndio aliotakiwa atunukiwe cheti cha kutambua ujasiri wake. Nasema uongo ndugu zangu?
Mmhhh!Alafu kwenye majibu yao ya uchunguzi wanasema eti hamza alijifunza matumizi ya silaha kupitia simu yake ya kiganjani kwenye mitandao ya kigaidi.
Kama amejifunza tu kwa simu amewasumbua hivi what if angejifunzia practical kabisa ?
Kachambua mchambuaji daudi mchambuzi.Hao wanatakiwa warudishwe kwenye mafunzo ya shabaha wakajifunze upya.
PESA NGAPI??? ACHANA NA MAKARATASI.
ASKARI WENYE MAFUNZO 11?? VS HAMZA M1???