Hivi risasi moja inauzwa sh ngapi, naona kama hawa waliopewa vyeti wametutia hasaraNdo maana jamaa alivyodondoka
Kila askari alijitahidi kutandika hata ya kalioni kumbe kuna cheti dooooh
Hatari na nusu!.
Bongo hata ukijamb utasikia sababu ni serikali ya mitozo
wakuu ukiwa maskin tabuu
yesNdio mkuu naamini hilo swali ni langu