Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Kumetokea mapambano makali muda huu na yangali yakiendelea. Mapambano hayo ni kati ya askari wa JWTZ na Polisi.
Mapigano hayo yalianza baada ya kusemekana kuwa wanajeshi walikuwa wanapiga raia ndipo polisi walipowasili a kuanza kuwafyatulia risasi ambapo wanajeshi walianza kujibu kwa mawe askari wakazidiwa na kupeleka askari zaidi eneo la tukio, kitu cha kushangaza raia nao wakaungana na wanajeshi.
Polisi ni wengi sana na wanazidi kumiminika kitu ambacho kimewatibua wanajeshi ambao wametangaza kurudi na kuwataka Polisi wakiwa wamekamilika wao ndiyo wanarudi kuanza. Shughuli zimesimama na maduka yamefungwa nitaendelea kuwapa updates.
SAHIHISHO:
Si askari wa JWTZ bali ni askari wa JKT ambao bado wapo depo katika purukushani hizo gari lilikuwa limebeba abiria lilipigwa risasi.
Sasa hivi wameshakamatwa wote kwa msaada wa JWTZ na wamejazwa kwenye toyota cruser mbili.
Doria inaendelea na hali inaanza kurudi kuwa shwari sasa hv naelekea central then kambini kujua kitakachojiri.
Mapigano hayo yalianza baada ya kusemekana kuwa wanajeshi walikuwa wanapiga raia ndipo polisi walipowasili a kuanza kuwafyatulia risasi ambapo wanajeshi walianza kujibu kwa mawe askari wakazidiwa na kupeleka askari zaidi eneo la tukio, kitu cha kushangaza raia nao wakaungana na wanajeshi.
Polisi ni wengi sana na wanazidi kumiminika kitu ambacho kimewatibua wanajeshi ambao wametangaza kurudi na kuwataka Polisi wakiwa wamekamilika wao ndiyo wanarudi kuanza. Shughuli zimesimama na maduka yamefungwa nitaendelea kuwapa updates.
SAHIHISHO:
Si askari wa JWTZ bali ni askari wa JKT ambao bado wapo depo katika purukushani hizo gari lilikuwa limebeba abiria lilipigwa risasi.
Sasa hivi wameshakamatwa wote kwa msaada wa JWTZ na wamejazwa kwenye toyota cruser mbili.
Doria inaendelea na hali inaanza kurudi kuwa shwari sasa hv naelekea central then kambini kujua kitakachojiri.