Hawa askari wa taifa hili wapumbavu sana, km vitu hawawezi kumudu kuvinunua kisa mfumuko wa bei ambao chadema kimekuwa kinaupinga kwa nguvu zote waiadabishe serikali na sio kutusumbua sisi wananchi. Wajipange na mkuu wao wampindue jk kuonesha kweli wana hasira