Uko sawa Mama MdogoBinti huyo yuko traumatized, kumbuka wanafinzi wamevamiwa saa kumi na moja asubuhi wakakurupuka kukimbia wakiwa wamevaa night dress au underwear tu, kwa hiyo wakati wa kuwaokoa ilibidi kwanza kuwahakikishia kwamba wao maskari ni vyombo vya dola siyo al shabab, na pili wakishawaokea kuwahakikishia usalama na kuwaonyesha upendo mkubwa ili akili zao zitulie.
Natamani mabinti mujifunze kitu hapo. Kulala umejisitiri kunafaa sana haswa wakati huu ambapo dini zinaenezwa kwa kuua makafir. Huwezi jua wanatokea lini na wapi, hivyo ukitoka nduki, uwe umejitayarisha.
Mhurumieni mwenzenu, labda jamaa ampe kombati yake
Hivi na joto hili mtu alale na miguo kama anaenda vitani ili, hiyo nguo ni sahihi kuvaliwa usiku, kwanza huyo kajitahidi bila shaka wapo waliokutwa na pichu tu, nao ni sahihi tu.
Apologise Lady;
Nakuunga mkono kabisa kabisa lakini kumbuka hali ilivyo huko Kenya. Sjui ka uliwahi kupitia jeshini. Miye nlibahatika kupitia National Service tu. Hivi pale Ruvu JKT huwa wanalala na pichu??
Kwa hali ilivyo, ukiwa kenya popote, ukilala na pichu unajitakia kuumbuka tu. Mtatolewa nje kwa corido muwekwe kwa foleni halafu ndo utajuta kuzaliwa. Hata ka ni mchepuko umeokota huko, do huku mmeshusha nguo zile mwisho magotini, yakiwaka huko nje mnasimama na kufunga mikanda tu, naye anashusha nguo tu. Ni ka ushauri tu kwa walio katika hali hiyo ya hatari. Miye wangu hulala ka alivyo zaliwa lakini najua alipo ziweka nguo. Nitazichukua haraka nikimbie nazo mkononi nkamvikie nje huko. Cheeza nininiiii
kama hawa chiniIla watu wengine watakuja na mitazamo tofauuuti.
Duu maaskari wanafaidi sana!isije kawa kamficha mpaka leo
Katika picha zote zile uliiona hiyo tu mkuu?
Hapo atamsindikiza mpaka kwao kilometer 20
Akula zgo lkn
Utaumbuka kivip wakati ukishindwa kutoa aya, unatwangwa risasi na kufa?Apologise Lady;Nakuunga mkono kabisa kabisa lakini kumbuka hali ilivyo huko Kenya. Sjui ka uliwahi kupitia jeshini. Miye nlibahatika kupitia National Service tu. Hivi pale Ruvu JKT huwa wanalala na pichu??Kwa hali ilivyo, ukiwa kenya popote, ukilala na pichu unajitakia kuumbuka tu. Mtatolewa nje kwa corido muwekwe kwa foleni halafu ndo utajuta kuzaliwa. Hata ka ni mchepuko umeokota huko, do huku mmeshusha nguo zile mwisho magotini, yakiwaka huko nje mnasimama na kufunga mikanda tu, naye anashusha nguo tu. Ni ka ushauri tu kwa walio katika hali hiyo ya hatari. Miye wangu hulala ka alivyo zaliwa lakini najua alipo ziweka nguo. Nitazichukua haraka nikimbie nazo mkononi nkamvikie nje huko. Cheeza nininiiii
Aliyeokolewa huku kwetu angeukwaa ukuu wa wilaya fastaaa.
Utaumbuka kivip wakati ukishindwa kutoa aya, unatwangwa risasi na kufa?
mbele ya hawa jamaa, wakiingia kama niko bafuni hata boxer sibebi, bora nje wanione mwehu tu, ni nduki kwa kwenda mbele
Wewe ni wa kwanza..