Wale walikuwa CHADEMA wakiandamanaWatu wawili,akiwemo mwanafunzi wa Sekondari,wameuawa kwa kupigwa risasi kama wanyama Wilayani Rufiji mkoani Pwani. Watu hao wameuwawa na Askari wa Wanyamapori. Walidaiwa kuwa ni majangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selou(?) kitu ambacho kimekanushwa vikali na wananchi wa sehemu hiyo. Kwa ubabe, wakazivua nguo maiti na kutuma nguo hizo nyumbani kwa marehemu.
Chanzo: ITV(Habari ya saa saba mchana)
Wanakinga ,acha waendelee tu, kwa kuwa wananchi bado hatujaona hii chinjachinja ya hawa 'governing tool' ya ccm ni tatizo
Watu wawili,akiwemo mwanafunzi wa Sekondari,wameuawa kwa kupigwa risasi kama wanyama Wilayani Rufiji mkoani Pwani. Watu hao wameuwawa na Askari wa Wanyamapori. Walidaiwa kuwa ni majangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selou(?) kitu ambacho kimekanushwa vikali na wananchi wa sehemu hiyo. Kwa ubabe, wakazivua nguo maiti na kutuma nguo hizo nyumbani kwa marehemu.
Chanzo: ITV(Habari ya saa saba mchana)
Sasa Mkiua wote nani atawapigia kura?.. Nyie jamaa!..
Ninakuunga mkono hippocratessocrates!! lazima tufanye kitu wanyama wote wana tabia ya kujitetea. Hata wale wasio na sumu hutengeneza sumu wakifikishwa kwenye kona. Serikali hii imetufikisha kwenye kona!! lazima tujitetee!! tunakwisha hata kama ni juhudi na majambazi wa mabwepande kuhalalisha utawala wa kijeshi ili kulindwa liwalo na liwe!! hatuwezi kungoja tena!!Shida ni kwamba tunapiga kelele weeeeeeee, "tunauwawa tunauwawa"..kama hatutafanya jambo lolote. TUKAE KIMYA KABISA, TUACHE KELELE ..sasa fikiria mwanafunzi wa Sekondari?!!!
Ujinga huu tunaofanyiwa, bado tunakaa tunasema hatuelewi kwanini wazazi wetu waliteswa na kunyanyaswa na mkoloni?Tena tunawabeza kusema, "wao walikuwa watu wa ajabu sana" ..UAJABU wao una tofauti gani na wetu?
Anyway, POLE kwa wafiwa.
Lakini hao (red) hawaelezwi kitu kuhusu CCM. Watu wao wanauliwa lakini kesho itisha uchaguzi hata wa mwenyekiti wa kitongoji wao ni CCM tuu.Watu wawili,akiwemo mwanafunzi wa Sekondari,wameuawa kwa kupigwa risasi kama wanyama Wilayani Rufiji mkoani Pwani. Watu hao wameuwawa na Askari wa Wanyamapori. Walidaiwa kuwa ni majangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selou(?) kitu ambacho kimekanushwa vikali na wananchi wa sehemu hiyo. Kwa ubabe, wakazivua nguo maiti na kutuma nguo hizo nyumbani kwa marehemu.
Chanzo: ITV(Habari ya saa saba mchana)
Kaz nzur kama wameua majangili.
kwa wataka kusema Dr JK aliwapigia simu hao polisi na kuwapa maagizo wafanye hayo mauaji.? sijaona connection ya Dr JK na habari uliyeleta.....
kesho ukiibiwa utakuja na thread .. mwananchi wa JK kaniibia...
pathetic !
Itakuwa ni kitu kizito au chenye ncha kali.
Chadema wanahusika !