ASKARI wa JK waua tena...

Wale walikuwa CHADEMA wakiandamana
 
Kuna mbunge mmoja mwanamke, simkumbuki jina lake ila nampenda sana. Yeye akisimama bungeni wabunge wenzake wanaanza kucheka kwa kishindo, kuashiria kuwa wanajua kile anachotaka kuzungumza. Cha kwanza ni nanikuu "Mheshimiwa spika, kabla ya salamu naomba nianze na mjusi". wabunge wote vicheko. anaendelea "Mjusi wetu mhe. spika yuko kule Ujerumani. Na huyu mjusi ni muhimu sana, hivi ni lini hayo mabaki ya huyo mjusi yatarudi nyumbani"

Kilio chote cha huyu mheshimiwa kilitia fora pale aliposikia eti Twiga wetu tena wamesafirishwa kwenda huko ughaibuni tena wakiwa hai.

Nampenda sana huyu mbunge, ukimkumbuka nitumie jina lake.
 
Wanakinga ,acha waendelee tu, kwa kuwa wananchi bado hatujaona hii chinjachinja ya hawa 'governing tool' ya ccm ni tatizo
 
Inamaana katika nchi hii maisha ya wanyamapori yanathamani na yanalindwa kuliko maisha ya raia!
 
Wanakinga ,acha waendelee tu, kwa kuwa wananchi bado hatujaona hii chinjachinja ya hawa 'governing tool' ya ccm ni tatizo

Vyombo vya dola wameshajitangazia hali ya hatari, at their own level, lakini wakijua watawala wanaunga mkono maeneo hayo ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, katiba na sheria za nchi, vinginevyo mtu anawezaje kuendelea kufumbia macho na kuvumilia mauaji haya ya raia wasiokuwa na hatia
 
ccm haisamini tena maisha ya waTZ. Baada ya kuwapa waTZ umaskini wa kutupa na huduma hafifu sasa hata uhai wao hauthaminiwi.
 


Kichwa cha Habari,"Askari wa JK"

Ukisoma habari,"Askari wa WANYAMAPORI"

hahahahahahahahahahahahaha
 
Ninakuunga mkono hippocratessocrates!! lazima tufanye kitu wanyama wote wana tabia ya kujitetea. Hata wale wasio na sumu hutengeneza sumu wakifikishwa kwenye kona. Serikali hii imetufikisha kwenye kona!! lazima tujitetee!! tunakwisha hata kama ni juhudi na majambazi wa mabwepande kuhalalisha utawala wa kijeshi ili kulindwa liwalo na liwe!! hatuwezi kungoja tena!!
 
kwa wataka kusema Dr JK aliwapigia simu hao polisi na kuwapa maagizo wafanye hayo mauaji.? sijaona connection ya Dr JK na habari uliyeleta.....

kesho ukiibiwa utakuja na thread .. mwananchi wa JK kaniibia...

pathetic !
 
Nimeongea na askari mmoja wa ffu, kasema wanasiasa wanaharibu jeshi la polisi 2015 yeye anajifua mazoezi ya kukimbia tu! Anasema hali haitakuwa nzuri ccm itatumia nguvu ya jeshi, vyama vingine ni nguvu ya umma
 
Itakuwa ni kitu kizito au chenye ncha kali.
Chadema wanahusika !
 
Lakini hao (red) hawaelezwi kitu kuhusu CCM. Watu wao wanauliwa lakini kesho itisha uchaguzi hata wa mwenyekiti wa kitongoji wao ni CCM tuu.
 
kwa wataka kusema Dr JK aliwapigia simu hao polisi na kuwapa maagizo wafanye hayo mauaji.? sijaona connection ya Dr JK na habari uliyeleta.....

kesho ukiibiwa utakuja na thread .. mwananchi wa JK kaniibia...

pathetic !


Hapo penye Dr.mnapapenda kwa nini usiseme tu kikwete au rais Kikwete.
 
Hii habari nimeipata kutoka kwa mtu aliyekuwa eneo la tukio.Aliyeuwawa ni mwanafunzi wa kidato cha pili anayesoma shule ya sekondari Mwaseni.Siku ya tukio alikwenda kuvua samaki katika bwawa ambalo lipo eneo la hifadhi.Mara wakasikia mlio wa risasi walivyokimbia kivyao huyu mwanafunzi alitokea katika kambi ya hawa askari poli na akajisalimisha ila KILCHOMKUTA NI KUKABIDHIWA KWA MKUU WA HAWA ASKARI AMBAYE ALITOA AMRI YA KUPIGWA RISASI AKISEMA HAWA MAJANGILI YATATUSUMBUA.
Pia mwanakijiji mmoja katika mlio wa kwanza wa risasi ilikuwa imeshampata moja na kufa papo hapo.

SOURCE: NDUGU YANGU WA KARIBU AMBAYE ANAFUNDISHA MWASENI SEC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…