Always and always wherever you have a tyre bust never ever on earth engage the brakes
....au ni kafara ya miaka 39 ya chama chetu??Tatizo ni mwendo kasi .
Juzi tulipitwa na msafara hapa hapa dar lakini spidi nadhani ilikuwa 180...nikamuuliza mshikaji nilekuwa naye kwenye gari logic ya hii misafara kuvunj sharia za barabarani...yeye akatetea kuwa wako safe sababu wanapishwa na wanapiga king'ora...nikamuuliza akikatiza kiziwi ghafla au mtoto si watamgonga hawa...
hivi spidi ni haraka? usalama? au mbwembwe? sawa tutawapisha lakini you need to rethink kama kuna haja kweli ya kwenda spidi 180 toka na safari yenyewe ni ya posta airport
Amina....!!Na mwanga wa milele uwaangazie!
Just when you think humanity has evolved, there comes a bunch of idiots with mediocrity minds to prove you wrong. Lengo la thread ilikua kutupatia habari, lakini navyoona peoples have lost focus on the news. ( the topic at hand/ subject of discussion) and they resort to trying to associate two things that aren't even connected, deaths of police officers and their records of evil deeds. I say, the two are not connected, those who try to establish that connection will be committing a fallacy of false cause.Ni huko Singida wakielekea Manyoni.
Ni baada ya tairi ya gari kupasuka na kupoteza muelekeo.
![]()
![]()
![]()
![]()