Askari Polisi watatu wafariki dunia katika msafara wa CCM Singida

Askari Polisi watatu wafariki dunia katika msafara wa CCM Singida

Nikikumbuka wanavyonyanyasa wananchi wanyonge kwa kuwapiga hadi kuua kama Mwangosi(R.I.P), nashindwa kusikitika
 
Polisi acheni uonevu na rushwa kwa raia wa Tanzania.

Hebu mlio hai oneni watu walivyochoka nanyi hata kutosikitika mnapokufa.


Ingawa sikio la kufa halisikii dawa lakini badilikeni.
 
NAO HAWA SPEED SANA UTADHANI BARABARA INAWAJUA KUWA WAO NI POLISI BUT R.I.P
 
Uislamu umekataza kumuombea MTU dua bay a anapokufa hata kama ni muovu, sababu kifo ni hari ngumu sana inayo mfika mtu.
 
Hadi sasa karibu polisi watano wameshakufa kwenye misafara ya rais magufuli toka wakati wa kampeni ....na wengi kujeruhiwa ni wakati sasa timu yake ya ulinzi kuangalia namna ya kudhibiti hizi ajali .
pengine usafiri wa ndege na helicopter ni nafuu zaidi kuliko tunavyooambiwa kuwa akitumia magari anaokoa pesa
 
Wapumzike kwa Amani. Mwendo kasi unaua nimeona mara nyingi magari ya serikali yakikimbia sana as if wanakinga fulani ya kutopata ajali
 
Majina plz ya hao wahanga, nina ndugu zangu hapo sgd, ni polisi....... nimezimia, ndo nimezinduka....!
 
Du huuu uzi unaonesha ni jinsi gani ccm na serikali yake wametengeneza chuki miongoni mwa jamiii mpka inafika mahali watu wanafurahia wengine kufa,

Tuna kazi kubwa mbele

Poleni wafiwa .Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi
Ni m
Juzi tulipitwa na msafara hapa hapa dar lakini spidi nadhani ilikuwa 180...nikamuuliza mshikaji nilekuwa naye kwenye gari logic ya hii misafara kuvunj sharia za barabarani...yeye akatetea kuwa wako safe sababu wanapishwa na wanapiga king'ora...nikamuuliza akikatiza kiziwi ghafla au mtoto si watamgonga hawa...

hivi spidi ni haraka? usalama? au mbwembwe? sawa tutawapisha lakini you need to rethink kama kuna haja kweli ya kwenda spidi 180 toka na safari yenyewe ni ya posta airport
Speed kwenye misafara ya viongozi siyo mbwembwe bali ni suala la kiusalama zaidi ndio maana si kila dereva anaweza kumuendesha rais au waziri mkuu bali ni madereva maalum ambao wamekuwa trained kwa ajili ya kuendesha viongozi. Wanakuwa trained kuendesha gari katika speed na environment condition yoyote. Ndio maana pamoja na kwamba haya magari hukimbia kwa speed kubwa tena yakiwa yamekaribiana huwezi kukuta yamegongana. Ajali kama za hiyo kupasuka tairi ni vitu ambavyo huwezi kuvikwepa.
 
Jamani serikali iwe na huruma na watotot wa watu, msafara wa ccm unaongozwa na polosi? Huku sasa ndio kupenda kutukzwa, loh! halafu serikali hii ndio inayo jinasibu kubana matumizi! Poleni wafiwa.
Hata wewe mwenyewe unaweza ukawaomba polisi wasindikize msafara wako. Ni suala la kutimiza masharti tu. Kuhusu msafara wa jana ni wa viongozi wa CCM ambao wana vyeo serikalini au walishakuwa na vyeo serikalini ambavyo katiba inawataka wapewe ulinzi popote pale waendapo. Hata Lowassa pamoja na kuwa yupo Chadema bado anapewa ulinzi na serikali kwa mujibu wa katiba.
 
mimi kwa kweli nikikumbuka jinsi walivyo wafanya cuf(ukawa)mtongani pale
kupiga watu kma mbwa/wanyama hawa misina huruma naooo
waache wapungue2 ,..wanatesa sana raia
 
Back
Top Bottom