Kuna CCM wengi.Ikungi sijui kuna nn jamani. R.I.P wapendwa wetu
Wanaweza kanusha tusubiri msemaji wao yule mwenye ndevu ka beberu.Ngoja pengine siyo kweli.
Kweli Mungu ndo aliwaamuru waende speed ya 120 au yeye ndo aliandaa hiyo sherehe? Mungu hawezi kumlazimisha mtu afe kwa speed au tyle kupasuka tusewe tunamsingizia. RIP maafande.kazi ya mungu haina makosa japo kila litokealo huwa na sababu na msababishi poleni wafiwa
Ni huko Singida wakielekea Manyoni.
Ni baada ya tairi ya gari kupasuka na kupoteza muelekeo.
![]()
Sana tu Mkuu Kwameh. Ikiwa una tairi zilizochoka au za zamani ukaenda kwa mwendo kasi tairi itapasuka. Na pia tairi zina code za maximum speed. Ukienda kasi ya 120km/hr kwa tairi yenye code ya maximum speed 100km/hr itapasuka. Hii Zaidi ni kutokana na forces (centrifugal) ambazo zinaipata tairi inapozunguka, ambazo forces hizo huongezeka kadiri spiidi inavyoongezeka.Mwendokasi unapasua tairi?
Hivi vitu ni Mungu tu nadhani siku yako inakua tu haijafika ,natoka Segera naitafuta Wami kulikua na mabasi mawili yame fuatana Ngorika la mbele yake Dar express ,nimeanza ku overtake Ngorika nikaunga na Dar express ile nakaribia kuimaliza Dar express Tairi la nyuma likalia ,bahati nzuri Dereva wa Dar express alikua muungwana akaaanza kupunguza speed na mbele yangu hakukua na gari ndio ikawa salama yangu ila nakumbuka nlikua Kwenye 160-170 Kph......
......unapokuwa kwenye mwendo kasi then burst ni hatari sana under 80 unaweza kusevu !!!
Hivi vitu ni Mungu tu nadhani siku yako inakua tu haijafika ,natoka Segera naitafuta Wami kulikua na mabasi mawili yame fuatana Ngorika la mbele yake Dar express ,nimeanza ku overtake Ngorika nikaunga na Dar express ile nakaribia kuimaliza Dar express Tairi la nyuma likalia ,bahati nzuri Dereva wa Dar express alikua muungwana akaaanza kupunguza speed na mbele yangu hakukua na gari ndio ikawa salama yangu ila nakumbuka nlikua Kwenye 160-170 Kph
Mkuu top speed ya hiyo gari ilikua 260 ,hivyo tairi zilizofungwa zilikua zinaruhusu kabisa gari kutembea 160 na zaidi bila tatizo ,labda hilo la zaidi ya miaka minne japo sina kumbukumbu sahihi ,baada ya kutoa lile tairi maana Rim yote ilikunjika nikakuta bolt ndani ambayo ndio ilisababisha tairi kupasuka nilipoikanyaga nikiwa kwenye speedNaam, kama nilivosema hapo ju, uwezekano mkubwa ni kwamba tairi zako hazikuwa za kwenda spidi ya 160-170km/hr, au zilikuwa zina Zaidi ya miaka mine tangu ununue. Usije fanya kosa kwenda spidi Zaidi ya kiwango cha tairi zako - burst ya tairi lazima itakuja tu.