R.I.P, Mungu awaweke panapolingana na matendo yao ya upolisi dhidi ya mwananchi wanyonge wa Tanzania.
Next time waelewe yale magari 700 ya Kikwete yana spidi ya ajabu.
Usikute waliambiwa mbele kuna wafuasi wa Ukawa wamejipanga kuzomea msafara.
Next time waelewe yale magari 700 ya Kikwete yana spidi ya ajabu.
Usikute waliambiwa mbele kuna wafuasi wa Ukawa wamejipanga kuzomea msafara.