Lwamadovela
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 325
- 235
miaka ya nyuma ilitokea pale makete mkuu wa kituo kuhusiana na wake wa maaskari. siku moja askari akiwa lindo akatonywa bosi yuko kwa mke wake. jamaa aliondoka lindoni kwenda nyumbani. alipofika akamkuta mkewe pekeyake. jamaa hakuamini!akachungulia uvunguni mwa kitanda akaona bosi amejilaza. Jamaa akalikoki. Akammaliza hukohuko. Serengeti mnafeli wapi!?Askari Polisi waandika barua kwenda kwa Waziri Lugora wakimtuhumu OCD Serengeti kutembea na wake zao, wachumba wao
Pia OCD huyo amekuwa akiomba rushwa ya ngono kwa askari wa kike
Mkuu wa kituo Cha Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara (OCD) Matthew Mgema, ameingia katika kashfa nzito ya kuomba rushwa ya ngono fesha kutoka kwa askari wa kike na wa kiume.
Mkuu huyo wa kituo cha polisi amesababisha kuvunjika kwa ndoa za askari wake anaowaongoza na wengine kuwatengenezea skendo ambazo zimesababisha wahamishwe vituo vya kazi.
Barua tuliyoipata iliyoandikwa na askari Polisi hao, ambao wamechoshwa na vitendo hivyo, inaeleza namna OCD huyo anavyofanya vitendo vya kinyanyasaji kwa askari wenzake.
Barua hiyo imeandikwa kwenda kwa RPC Mara na Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugora ili aweze kuwasaidia Polisi hao ambao wananyang'anywa wake na wengine kunyang'anywa wachumba wao na OCD huyo.
Kulingana na barua hii na vitendo vichafu vinavyoendelea kufanyika Serengeti, Waziri Lugora hakikisha unafanya ziara ya haraka Serengeti kwa kuwa vitendo hivyo vinahatarisha usalama kwa askari wako.
Pia OCD huyo ametengeneza mtandao ndani ya askari wake ambao wanashirikiana kuchukua rushwa kutoka kwa watuhumiwa wa uwindaji haramu kwenye mbuga ya serengeti.
Pia amekuwa akitumia mtandao huo wa askari wasiokuwa waaminifu kuchukua pesa kwa wafanyabiashara na watuhumiwa wengine wanaokamatwa kwa tuhuma mbalimbali na fedha zinazopatikana wamekuwa wakigawana.
Soma chini barua hii ya askari walioiandika kwenda kwa Waziri Lugora na RPC Mara.
Na hii timu ya Ocd anayotumia kuchukua rushwa na mambo mengine.
G-6873 D/C Benson..G-5805 D/C Christophe..G-3633 D/C peter..G-4209 D/C Steve..!
BY CHARLES CHARLES
Wewe demu umemaliza maternity leave??Sasa hapo kosa la ocd au wake zao? Wakati mwingine huwa naona Tanzania hizi ndoa ni kama kulazimishana tu, hivi kweli Mke wako anasex na Mwanaume mwingine halafu unakwenda kumlalamikia mwingine? WTF!
Huku kwetu sisi tungemla kichwa sielewi police wanafeli wapiKwahiyo maraia makakamavu yanamlilia lugora ayasaidie mambo ya ndoa.
Nadhani lugora nayeye ataangalia ni mke wa askari gani atamfaa,nayeye ajipasulie kiroho safi.
Watu zaidi ya 40 mnashindwa hata kumroga huyo mnabaki kulia lia tu.
Wangemuwekea mtego tu
Wanawake wengi wafanyakazi, hasa wenye fani ambazo boss ndiye mwenye uzito mkubwa linapokuja suala la kupanda cheo, wana uwezo mkubwa Sana wa kutofautisha ngono na mapenzi. Kila kitu kwao ni kimkakati zaidi, hata ndoa zao pia ni kiegesho;Huko ni kujidanganya, kumbuka kwamba kwa kawaida Mwanamke hawezi kutenganisha sex na love, kama Mwanaume, Mwanaume anaweza kusex na mwanamke asiyempenda.
Lkn kuna baadhi ya Wanawake wanaweza kama vile Wanaume kutenganisha sex na love mfano makahaba wanaojiuza hawana hisia na Wanaume wanao sex nao, lkn ni wachache, ila Kibaolojia Mwanamke wa kawaida anahusisha hisia na sex, hivyo yule mwanaume anayesex naye huwa anajenga hisia naye, hivyo usijidanganye, likikutokea na ukajua, jipange tu kwa maana anakuwa tayari ushamtoka na yuko kihisia kule ndo maana ukali hausaidii kwani atawasiliana naye tu hata kwa kuiba.
Hivyo ushauri wangu ukijua na ukathibitisha, anza kujiengua mapema kwani anajipanga kukumwaga mazimaa, hayo ni maoni yangu yanayotokana na uzoefu wangu na mademu!
Sasa hapo kosa la ocd au wake zao? Wakati mwingine huwa naona Tanzania hizi ndoa ni kama kulazimishana tu, hivi kweli Mke wako anasex na Mwanaume mwingine halafu unakwenda kumlalamikia mwingine? WTF!
kwa sheria za jeshi, mkubwa wako aliekuzidi cheo, hata akikukuta uko bar na mke wako mmekaa, inabidi usimame, umpigie saluti na umpishe akae na mkeo, hakuna kuhoji, askari wa kike hakuna kukataa chochote utakachoombwa na mkubwa wako.
Kwa hiyo unawashauri watumie bunduki si ndiyo.Yaani askari wazima wanam lalamikia mtu mmoja kwa kuwa gongea madem na wake zao, tena wanaandika barua na kujificha wasijulikane😆😆😆😆
Siku mkisikia risasi msiseme hamkuambiwa.Mbona hii imekaa kimajungu zaidi.
Tena haina mlengwa rasmi bali kwenda kwa yeyote anayehusika?
Mimi siwashauri kitu bali najiuliza na kuwashangaa. Inakuaje wanaume kujikusanya kakikundi na kulalamika kuwa wanagongewa wake zao. Tena huyo mgongaji wao ni mmoja.Kwa hiyo unawashauri watumie bunduki si ndiyo.
Acha mafumbo wewe..Mimi siwashauri kitu bali najiuliza na kuwashangaa. Inakuaje wanaume kujikusanya kakikundi na kulalamika kuwa wanagongewa wake zao. Tena huyo mgongaji wao ni mmoja.