Wana JF,nipo safarini Shinyanga mjini. Kuna tangazo langu,lilitoka kwenye gazeti la Uhuru la jana 17/1/2012.Leo,nimelitafuta mji mzima gazeti hilo,nimelikosa. Naambiwa kuna gari la Polisi limezungukia sehemu zote,ziuzwazo magazeti,na kuyanunua yote! Sababu,naambiwa kuna tuhuma dhidi yao,imeandikwa humo!
JF,ni mtandao mpana. Naomba aliyelisoma,atujuze walichotuhumiwa. Na,je,walichokifanya,kitawasaidia? Ukizingatia,magazeti hayo yanapelekwa kila kona!
Nawasirisha!
Sio ajabu kwa Shinyanga kwani sasa hivi kuna kijana sadist kapewa U-RPC ,enjoyment yake kubwa ni kuvizia askari kuwapiga picha na kuwafukuza kazi,navyojua kiongozi ni mzazi anayepaswa ku-guide watoto wake na kuwaprotect,mzazi anayetega wanawe ili watumbukie ni joka la mdimu,sijui IGP kwa busara zake kama anasupport mambo ya huyu kijana.
Si rahisi gazeti la uhuru kuibua tuhuma za polisi, they are two side of the same coin
Uhuru si gzt la CCM na polisi?Kwa nini wanaficha
hili gazeti haliuzwi mahala popotekwani halina soko linasambazwa bure ofisi za serikali na za ccm.
unalitafutia promo ili kesho mkilijaribisha sokoni linunuliwe mmechemka wabongo wako macho.
Wana JF,nipo safarini Shinyanga mjini. Kuna tangazo langu,lilitoka kwenye gazeti la Uhuru la jana 17/1/2012.Leo,nimelitafuta mji mzima gazeti hilo,nimelikosa. Naambiwa kuna gari la Polisi limezungukia sehemu zote,ziuzwazo magazeti,na kuyanunua yote! Sababu,naambiwa kuna tuhuma dhidi yao,imeandikwa humo!
JF,ni mtandao mpana. Naomba aliyelisoma,atujuze walichotuhumiwa. Na,je,walichokifanya,kitawasaidia? Ukizingatia,magazeti hayo yanapelekwa kila kona!
Nawasirisha!
Bado unasoma gazeti la CCM?
Naambiwa yanafika siku husika,mchana!
Nahangaika leo,kumbe yalifika jana,na waliyanunua jana hiyo hiyo!
aisee afadhari ungeuliza kitu kingine,hilo ni gazeti la kufungia maandazi kawaulize wauza maandazi.
Mimi nimeona habari moja tu, chadema yapiga watu msibani ifakara
Kuyanunua magazeti yote kwa lengo la kuwafanya watu wasipate habari, ni kosa dhidhi ya haki za kupata habari kadiri ya Katiba yetu ya sasa kifungu namba 18. Kumbe kama wamefanya hivyo na kwa lengo hilo basi ni makosa. Ninavyofahamu magazeti mengine yamepoteza mvuto kwa wasomaji, kumbe pengine mikoani zinaenda nakala chache sana na kama wewe ni mgeni maeneo hayo utakuta nakala zote zimeuzwa kwa wateja wao wa kila siku. Mwisho, watu hawaelewi hili kwamba " huwezi ukanyamazisha sauti za vyombo vya habari bali unaweza kuzikwepa ukiamua na kutaka!"Wana JF,nipo safarini Shinyanga mjini. Kuna tangazo langu,lilitoka kwenye gazeti la Uhuru la jana 17/1/2012.Leo,nimelitafuta mji mzima gazeti hilo,nimelikosa. Naambiwa kuna gari la Polisi limezungukia sehemu zote,ziuzwazo magazeti,na kuyanunua yote! Sababu,naambiwa kuna tuhuma dhidi yao,imeandikwa humo!
JF,ni mtandao mpana. Naomba aliyelisoma,atujuze walichotuhumiwa. Na,je,walichokifanya,kitawasaidia? Ukizingatia,magazeti hayo yanapelekwa kila kona!
Nawasirisha!
Kuyanunua magazeti yote kwa lengo la kuwafanya watu wasipate habari, ni kosa dhidhi ya haki za kupata habari kadiri ya Katiba yetu ya sasa kifungu namba 18. Kumbe kama wamefanya hivyo na kwa lengo hilo basi ni makosa. Ninavyofahamu magazeti mengine yamepoteza mvuto kwa wasomaji, kumbe pengine mikoani zinaenda nakala chache sana na kama wewe ni mgeni maeneo hayo utakuta nakala zote zimeuzwa kwa wateja wao wa kila siku. Mwisho, watu hawaelewi hili kwamba " huwezi ukanyamazisha sauti za vyombo vya habari bali unaweza kuzikwepa ukiamua na kutaka!"