Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,344
- 6,403
Wana JF,nipo safarini Shinyanga mjini. Kuna tangazo langu,lilitoka kwenye gazeti la Uhuru la jana 17/1/2012.Leo,nimelitafuta mji mzima gazeti hilo,nimelikosa. Naambiwa kuna gari la Polisi limezungukia sehemu zote,ziuzwazo magazeti,na kuyanunua yote! Sababu,naambiwa kuna tuhuma dhidi yao,imeandikwa humo!
JF,ni mtandao mpana. Naomba aliyelisoma,atujuze walichotuhumiwa. Na,je,walichokifanya,kitawasaidia? Ukizingatia,magazeti hayo yanapelekwa kila kona!
Nawasirisha!
JF,ni mtandao mpana. Naomba aliyelisoma,atujuze walichotuhumiwa. Na,je,walichokifanya,kitawasaidia? Ukizingatia,magazeti hayo yanapelekwa kila kona!
Nawasirisha!