Wana JF,
Kwanza Haiwezekani kabisa kwa Binadamu yeyote kujipiga Risasi zaidi hata ya mmoja tena binadamu anaye jiua ni akisha jipiga risasi mmoja basi imetoka hata kama kwa kujaribu jipige mkononi uone kama utarudia risasi ya pili na ya tatu mpaka ya nne.
Ntauhoji Usalama wa taifa pia na Jeshi la police huko mara,tarime wakuu wa vituo vyote ulisha ona wapi mtu anawekwa chini ya rumande au mahabusu ambako kuna siraha za moto au kuna kifaa chochote hatarishi??
Walio husika wanawajibu wa kuwajibishwa kwa kusababisha huyo askari kujiua na uchunguzi ufanyike,
Kuna jambo hapo lazima