Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,217
- 7,911
Basi mbunge mpya ana haki ya kukataa kutoa huo msaada.
Watajua mbunge, serikali na wananchi jinsi ya kushughulikia matatizo. Murji wala hausiki kabisa labda aamua kusaidia tu kama mimi na wewe tunavyoweza kufanya hivyo kwa jamii zetu