Kagasheki (Bukoba mjini) yeye aliamua kulichukua gali alilotoa kwa ajili ya wagonjwa (mburance) 2010. mara baada ya kuangushwa 2015 na rwakatale (cdm) haraka akalichukua na kufuta ile arama ya red cross na kuligeuza kuwa bodaboda:
Ni ombi tu: ukiamua kutoa, toa kwa moyo wote na kwa upendo kisha sahau; maisha yanaendelea; chaguzi ndo tu kwanza zimeanza, je ukigombea tena na kuwaomba kura haohao ulowanyang'anya watakupa kura tena? ni bora ukiwaachia kwa ajili faida yako in future hata ikitokea ukagombea tena utakuwa na kitu cha kuwakumbusha na wakakumbuka kisha kukurejesha tena bungeni
Ni ombi tu: ukiamua kutoa, toa kwa moyo wote na kwa upendo kisha sahau; maisha yanaendelea; chaguzi ndo tu kwanza zimeanza, je ukigombea tena na kuwaomba kura haohao ulowanyang'anya watakupa kura tena? ni bora ukiwaachia kwa ajili faida yako in future hata ikitokea ukagombea tena utakuwa na kitu cha kuwakumbusha na wakakumbuka kisha kukurejesha tena bungeni