[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mie nilikuwa kwa Mama Hillary, bahati haikuwa yake! kuna thread nimeeleza hisia zangu, mwana JF mwenzetu Elungata akanishauri kuwa nipate japo 'POMBE ' ili niwe na amani. Naomba mwenye kujikia kunifariji anitumie vijisenti vya kunywea pombe kwa halopesaaa 0629 53 37 64 natanguliza shukrani haahahahahahahah
Because she's a woman.....nlkuwa sipati picha taifa kubwa kama marekani kutawaliwa na mwanamkeWhy cant i picture Hillary President??
Subirini muone JECHA EFFECT hadi huko Ng'ambo.Kwani Jecha Lubuva wamesha wasili Mitambonii..???
Hahahaaaa
Hahahaha,alisahau uchaguzi hautabirikiMkuu natumaini saizi upo na Virago vyako mpakani unaondoka nchini......
Huna tofauti na TB Joshua na Gwajima....Matapeli wakubwa...Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Umeshaondoka sasa or?Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199
Kama atashindaa ntaendelea kuishi Tanzania
Iwapo atashindwa nawambii na nyumba nawapa naondoka na begi la mgongoni nawaachia nchi yenu
Welcome our next president of USA Hillary R Clinton
View attachment 431199