Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Upumbavu mkubwa huu unafanya upuuzi huu mpaka kwa waathirika itakusaidia nini
 
Inawezekana ikawa 67% kweli maana ukiangalia huko mitaani, watu wanapigana sana miti tena kavu kavu na kiburudisho kikubwa kwao ni tigo, njia halali haipendwi tena. Yaani tigo wanagawa wake za watu, watoto (wanafunzi wa primary) na vichangu vya kawaida siku hizi.
 
7b24db432f260ffb11ec55aeb48abcce.jpg

Gatezi la Tanzania Daima linata Tanzania ipotee kabisa kwa hiyo kwao kila kukicha ni kuandika negative stories. 67% ya watanzania ni karibu watu milioni 30. Hivi Neville Meena na wahariri wenzake wanafikiria nini?
 
yuko
Sahihi sema tu gazeti halikueleza hao watanzania asilimia 67 wanaotumia ARV Ni WA chama gani wamesahau kuandika wanachama wa Chadema. Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV. Muombe moderator akubadilishie heading. It a minor correction. Atakubali tu
Nina wasiwasi na elimu yako na kama una utu.

Mpumbavu kabisa
 
Gatezi la Tanzania Daima linata Tanzania ipotee kabisa kwa hiyo kwao kila kukicha ni kuandika negative stories. 67% ya watanzania ni karibu watu milioni 30. Hivi Neville Meena na wahariri wenzake wanafikiria nini?
Ni ujinga wa kutafuta kiki
 
Ameclarify kwamba ni asilimia 67 ya waliothirika sio ya watanzania wote.
Ningeshangaa takwimu za uhakika ni kuwa watanzania wanachadema asilimia 67 wanatumia ARV. Kukuhakikishia anza kupima wabunge wote chadema ni asilimia ngapi wana ukimwi na wanatumia ARV halafu nenda Viongozi wote wa chadema kuanzia ngazi ya chini hadi taifa uone ukimwi ulivyo tatizo kubwa Na uone idadi ya watumia ARV halafu nenda kwa wafanya wafanyakazi wa serikali na taasisi zake uone wanachadema wangapi wana ukimwi na wanaishi kwa kula ARV ni hatari. Halafu malizia kwa wafanyabiashara na wanywa viroba na wasio na kazi uone rate Ya ukimwi na ulaji ARV utashangaa. Chadema wanatakiwa kuanzisha kurugenzi maalumu ya kupambana na maambukizi ya ukimwi Ndani Ya chama chao yako juu mno tena sana
 
Ila walivyoandika Ndo wamekosea huwezi andika ivo . Hata Kama ni Biashara sometimes inatakiwa uwe makini
Kifupi nikujibu hivi mtu akipata mume au hawara au mchepuko ambaye ni chadema ahakikishe wanaenda kupima barabara kabla hajajiachia peku peku. Ndio ushauri wangu you can take it or leave it. Ushauri haulazimishwi kuuzingatia.Maambukizi ya ukimwi chadema yako juu mno
 
Ameclarify kwamba ni asilimia 67 ya waliothirika sio ya watanzania wote.
OK kaogopa kutuhumu kivyama ila Hiyo asilimia 67 ni Ya wanachama wa chadema. Kama waziri asingeweza ongea hilo
 
Huwezi kutenganaisha Tanzania Daima na Mbowe
Kweli kabisa huwezi kutenganisha maslahi ya mauzo ya Gazeti hilo na Mbowe, lakini kutengenisha shughuli za kila siku za Tanzania Daima na Mbowe inawezekana!!
 
Hujasoma habari, 67% ya walioathirika ndo wanatumia dawa
Sijui hapo ni yupi elimu yake haieleweki.
Mtu kakurupuka na kichwa cha habari bila kusoma habari kamili
Lakini tutafika tu
Asante kwa kuliona hilo GT
 
Gazeti la kizembe sana hili,yaani uchu wao wa madaraka unawafanya wafikiri kizembe kwa kila jambo la nchi.
 
yuko
Sahihi sema tu gazeti halikueleza hao watanzania asilimia 67 wanaotumia ARV Ni WA chama gani wamesahau kuandika wanachama wa Chadema. Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV. Muombe moderator akubadilishie heading. It a minor correction. Atakubali tu
unakimavi mtakon kachambee
 
Tucheze salama masela, hii 67 itaijua zaidi ni kweli wakati washauri wanakuomba ukubaliane na hali
 
Oya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako
yan kwenye kila wanne karibia watatu wanao sio mmoja kutokana na hio 67%
 
Back
Top Bottom