sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Aliyeanzisha uchama ni mleta mada.Hapa si uchama Bali ni taarifa ya waziri ummy Mwalimu mbona kila kona ushabiki.
Aliyeanzisha uchama ni mleta mada.Hapa si uchama Bali ni taarifa ya waziri ummy Mwalimu mbona kila kona ushabiki.
sasa kama wanaogopa si watakufa harakaSwali gumu mkuu, wengine wanaogopa unyanyapaa na wengine hawapendi kutumia.
Itakua wanamsema yule mzee wa kumpiga mgombea mwenzake na rungu,marukaka yamemshika mpka anaropoka tuView attachment 614512 Hili ni lile gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama ambaye elimu yake haieleweki vizuri.
Limekuja na habari hii ya kwamba watanzania asilimia 67 wanatumia ARV.
Wakijidai kumquote waziri wa afya.
Yule mzee wa kupiga mtu rungu cd4 kushnei zimepanda hadi utosiniyuko
Sahihi sema tu gazeti halikueleza hao watanzania asilimia 67 wanaotumia ARV Ni WA chama gani wamesahau kuandika wanachama wa Chadema. Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV. Muombe moderator akubadilishie heading. It a minor correction. Atakubali tu
Waliandika haya kwa sababu ya siasa zao!Una hoja nzuri lakini unaichafua kwa kuirushia tope la siasa!
Mkuu inaweza kuwa 90% eti?67% ?
Dooh! Hapana
Mbona unatokwa na povu we ni mmoja wapo nini?View attachment 614512 Hili ni lile gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama ambaye elimu yake haieleweki vizuri.
Limekuja na habari hii ya kwamba watanzania asilimia 67 wanatumia ARV.
Wakijidai kumquote waziri wa afya.
Unaendelea kuthotisha hoja yangu kwamba thread au post yoyote anayosapoti YEHODAYA lazima iwe ya kipuuzi. Taratibu kila mtu atakufahamu kiwango cha uelewa wako.yuko
Sahihi sema tu gazeti halikueleza hao watanzania asilimia 67 wanaotumia ARV Ni WA chama gani wamesahau kuandika wanachama wa Chadema. Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV. Muombe moderator akubadilishie heading. It a minor correction. Atakubali tu
Ebu kamuuliza mwenyekiti wako kipara PhD yake ya maganda ya korosho kama ina uhalali wa kuitwa PhD ?!View attachment 614512 Hili ni lile gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama ambaye elimu yake haieleweki vizuri.
Limekuja na habari hii ya kwamba watanzania asilimia 67 wanatumia ARV.
Wakijidai kumquote waziri wa afya.
Tatizo umeleta habari nusu nusu, weka habari yote tuione!Waliandika haya kwa sababu ya siasa zao!
Watakuwa wamefanya makusudi na baadaye kuomba radhi.
Nilishawahi kuleta thread juu ya mwenendo wa gazeti hili
Duh afadhali umeclarify!! Sijui kwanini mtu analeta uzi wa uwongo kiasi hiki.Hujasoma habari, 67% ya walioathirika ndo wanatumia dawa
Kila siku anakoseakumbuka mhariri ame apologize
Uongo umesemwa na Tanzania Daiima sio mimi ...mimi nimeshare tu.Duh afadhali umeclarify!! Sijui kwanini mtu analeta uzi wa uwongo kiasi hiki.
Tatizo hutaki watu wajue...kwa kuwa ni aibu ya mwakaTatizo umeleta habari nusu nusu, weka habari yote tuione!
Hilo lipo nje ya uwezo wangu mkuu.sasa kama wanaogopa si watakufa haraka
Ameclarify kwamba ni asilimia 67 ya waliothirika sio ya watanzania wote.Uongo umesemwa na Tanzania Daiima sio mimi ...mimi nimeshare tu.
Labda uniambie hilo gazeti la Tanzania Daima halina hiyo habari
Kwa nini unaona kama vile kutumia ARV ni jambo la kunyanyapaliwa? Hizo ARV kwa sehemu kubwa zinatokana na misaada na mikopo ambayo serikali inaingia ili kuokoa maisha ya watu wake.Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV.
Hujasoma habari, 67% ya walioathirika ndo wanatumia dawa