Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Aliyeanzisha uchama ni mleta mada.
Mimi nimeweka facts tupu!

Kwani mmiliki wa gazeti ni nani?

Kwani elimu ya Mbowe ikoje?

Je blunders za mara kwa mara hazifanyiki na gazeti hili?
 
Kweli kabisa huwezi kutenganisha maslahi ya mauzo ya Gazeti hilo na Mbowe, lakini kutengenisha shughuli za kila siku za Tanzania Daima na Mbowe inawezekana!!
Haiwezekani mkuu Allen Kilewella,gazeti lina akisi mawazo ya mmiliki na ndio maana huwezi kukuta imeandikwa habari nzuri ya serikali
 
Asilimia 67 ya watanzania wenye maambukizi ya UKIMWI
Wanafanyaje?
Malizia kauli, unaongea kiswahili kama kingereza?
Tatizo Jose kweli nimeamin unakimbilia kuwa wa kwanza,lakin kichwana empty ,huna la kusema kabisa,
Ain't panic huh!
 
Usipo kua makini na Headings( vichwa) vya Waandishi wa habari unaweza jikuta unatamani kuifungua kila link ya mtandao au gazeti ili uisome , huzuni hutanda pale unapokuta ni tofauti na ulicho tarajia! Kuna siku nilikuta EATV wameweka heading iliyoandikwa "Roma yamkuta Makubwa" nilipata shauku yakutaka kujua ni kipi kilichomkuta roma tena , ile kufungua tu nakuta wanazungumzia sijui clabu ya Roma Italia imefanyaje sijui nini!

---- Dedeq zao!!!
 
Haiwezekani mkuu Allen Kilewella,gazeti lina akisi mawazo ya mmiliki na ndio maana huwezi kukuta imeandikwa habari nzuri ya serikali
Inawezekana lakini mmiliki si mhariri na ndiyo maana aliyeomba radhi ni mahariri wa Gazeti na siyo mmiliki wake!
 
Mkuu mleta Uzi acha uzushi na uongo....mbona kwa asilimia ulizotaja basi Tanzania ingeitwa jina la "UKIMWI Nation" hadi umoja wa mataifa wangetubadili jina letu la usajili huko UN
 
Inawezekana lakini mmiliki si mhariri na ndiyo maana aliyeomba radhi ni mahariri wa Gazeti na siyo mmiliki wake!
baada ya Mbowe kumlazimsiha,Gazeti likifungiwa Mbowe huwa halipi mishahara,na ukiwa mbishi anakutimua kama alivyotimuliwa Meena
Hilo lilikua gazeti enzi ya kina kibanda na Katabazi sasa hivi halina tofauti na gazeti la kiwi
 
Wanafanyaje?
Malizia kauli, unaongea kiswahili kama kingereza?
Tatizo Jose kweli nimeamin unakimbilia kuwa wa kwanza,lakin kichwana empty ,huna la kusema kabisa,
Ain't panic huh!
Hiyo sentensi nimeiweka kwa usahihi kabisa, sema wewe ndio huelewi mantiki ya thread

Okay unataka kuelewa?? haya ASILIMIA 67 YA WATANZANIA WENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI WANATUMIA ARVs.

=======NIMEMALIZA======
 
Oya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako

hadi hapo mmechangia mada wa4 kwaiyo dah.. pole kwa mmoja wenu! maisha ya matumaini.
 
Duh hii hatari,sasa watu inabidi wawe wanafanya masterbation au self service tu kwa kweli ndo mtu unakuwa salama.
 
I think this is Pretty lie lie..
Tanzania yetu haiwez kuwa chaf kias hcho
 
Hii hesabu sio kweli kabisa wakati shirika moja limetoa msaada kwa manunuzi ya ARV kwa watumiaji ambao wanakadiliwa kuwa Milion 1 naa, na hawazidi milion mbili ambao wapo registered na mfumo wa CTC,
Subili wizara itakukaanga tu kwa kusambaza abari za uongo ambazo huna uhakika nazo, ndo yale yale ya mdudu mtu
 
Back
Top Bottom