Mwalimu wako wa hesabu atakua na majonzi sana, kama asilimia 67 ya 4 ni moja . 67% ya nne ni zaidi ya wawiliOya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako
Jose westHiyo sentensi nimeiweka kwa usahihi kabisa, sema wewe ndio huelewi mantiki ya thread
Okay unataka kuelewa?? haya ASILIMIA 67 YA WATANZANIA WENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI WANATUMIA ARVs.
=======NIMEMALIZA======

FACTMwandishi wa habari hii hakutaka hata kutumia akili ya darasa la saba.
Prevalence ya ukimwi inatakiwa akokotoe kutoka watu 1.4 million aloyoandika wana maambukizi ya ukimwi.
Labda kama hiyo 67% ni idadi ya waathirika wanaotumia ARV.
Tumuombe Dr Abas atoe press kumuomba mwandishi akanushe uzushi wake la sivyo achukulie hatua kuandika habari ya uongo.
Hakuna nchi duniani wanaoumwa ukimwi wakafika 67% na haitatokea.