Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Hili gazeti ni la kufuitwa kabisa...
 
Mwandishi wa habari hii inawezekana amezi-abuse arv's zimeendelea kumtafuna,

Maambukizi yakifikia kiasi hicho wakistop kuzileta miezi minne tu population iliyopo itapukutika si chino ya 40%...
 
Hili gazeti wakati mwingine huwa linatia aibu, basi tu!
 
Oya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako
Mwalimu wako wa hesabu atakua na majonzi sana, kama asilimia 67 ya 4 ni moja . 67% ya nne ni zaidi ya wawili
 
Hiyo sentensi nimeiweka kwa usahihi kabisa, sema wewe ndio huelewi mantiki ya thread

Okay unataka kuelewa?? haya ASILIMIA 67 YA WATANZANIA WENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI WANATUMIA ARVs.

=======NIMEMALIZA======
Jose west
 
Mwandishi wa habari hii hakutaka hata kutumia akili ya darasa la saba.

Prevalence ya ukimwi inatakiwa akokotoe kutoka watu 1.4 million aloyoandika wana maambukizi ya ukimwi.

Labda kama hiyo 67% ni idadi ya waathirika wanaotumia ARV.

Tumuombe Dr Abas atoe press kumuomba mwandishi akanushe uzushi wake la sivyo achukulie hatua kuandika habari ya uongo.

Hakuna nchi duniani wanaoumwa ukimwi wakafika 67% na haitatokea.
FACT

Ni Asilimia 67% ya watu wote walioathirika ndio wanatumia ARV na sio 67% ya WATANZANIA wote...
 
Back
Top Bottom