Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Asilimia 67 ya watanzania wanatumia ARVs

Mi nauliza tu. Sasa Bwana Zitto. Kama Mtoto katekwa. Labda baba uliwahi kula mke wa Mtu. Sasa mme kasema akukomoe. Sasa kutaka kumkomboa Mtoto wako kuna tatizo. Siasa gani Zitto unaendesha. Na umepewa Hela na Nani. Kwa faida ya Nani na kwa malipo gani ya Baadaye.
 
Gazeti la makanjanja kila kitu ni mtazamo negative.......dah only tz 67%!!!!!!
 
Walio na maambukizi ikiwa mathalani idadi yao ni 50 basi asilimia 67 ya hao waathirika ndio wanatumia ARV.
 
Mie naungana nawe hata asilimia 35 siikubali. Wamekurupuka hawa.

Oya unaleta za wapi hizo? Asilimia 67 sio mchezo ujue, yaani katika watu wanne mmoja anao? Acha zako
 
Akili ndogo sana kwa harakahara kwenye familia ya watu 5, 3 wanatumia ARV... darasa la wanafuzi 100 67 wanatumia ARV labda ARV ina matumizi mengine zaidi ya haya tunayofahamu..
 
Naona waziri wa Afya amekuwa mhariri wao.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-10-22-15-02-03.png
    Screenshot_2017-10-22-15-02-03.png
    76.1 KB · Views: 22
Nimeona sehemu moja wanasema Ist ilibeba Tani 7.5 sasa naona yale mahesabu yanarudi huku!

Panadol au ARV?
 
IMG-20171022-WA0015.jpg
View attachment 614512

Hili ni lile gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama ambaye elimu yake haieleweki vizuri.

Limekuja na habari hii ya kwamba watanzania asilimia 67 wanatumia ARV.

Wakijidai kumquote waziri wa afya.
 
sasa tufanyaje maana kila mtu anasema yake

upuuzi wa ki tanzaniaHUUUUUU
 
Hili ni lile gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama ambaye elimu yake haieleweki vizuri.

Limekuja na habari hii ya kwamba watanzania asilimia 67 wanatumia ARV.

Wakijidai kumquote waziri wa afya.
Una hoja nzuri lakini unaichafua kwa kuirushia tope la siasa!
 
Hili ni lile gazeti linalomilikiwa na Mwenyekiti wa Chama ambaye elimu yake haieleweki vizuri.

Limekuja na habari hii ya kwamba watanzania asilimia 67 wanatumia ARV.

Wakijidai kumquote waziri wa afya.
yuko
Sahihi sema tu gazeti halikueleza hao watanzania asilimia 67 wanaotumia ARV Ni WA chama gani wamesahau kuandika wanachama wa Chadema. Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV. Muombe moderator akubadilishie heading. It a minor correction. Atakubali tu
 
yuko
Sahihi sema tu gazeti halikueleza hao watanzania asilimia 67 wanaotumia ARV Ni WA chama gani wamesahau kuandika wanachama wa Chadema. Pasomeke hivi Asilimia 67 ya watanzania ambao ni wanachama wa chadema wanatumia ARV. Muombe moderator akubadilishie heading. It a minor correction. Atakubali tu
Hapa si uchama Bali ni taarifa ya waziri ummy Mwalimu mbona kila kona ushabiki.
 
Back
Top Bottom