Niwakati umefika kuwa watu wakufikiri na kupima maneno ya kiabunuwazi yanayotolewa na viongozi wetu. Nikweli mwanamke ni injini ya muhimu sana ktk uchumi wetu ila ikiwa sera zakuwawezesha zitakuwa ni za kisiasa nakuuwacha ukweli, basi tutapotoka. Siku zote serikali yoyote duniani haifanyi maamuzi yasio angalia tamaduni zake ila kila mabadiliko yapaswa kufuwata mila na destur za nchi usika. Ukiangalia dhana nzima zakuwawezesha wanawake zipo zaidi kiundugu na kiurafiki kiasi wale wanawake wenye uwezo wanabaki na wale wasio nauwezo ndio wanakuwa viongozi. Hili lanikera nakuona kuwa kuna viongoz wachache ndani ya serikali wanaliujumu taifa hili. Kama kweli wameamua kuwapa nafasi 50% by 50% pia sheria zibadilike. Hivi embu tutafakari na kufikiri what will be a future of men into new generation? Upendeleo huu usio angalia vipawa utawafanya wanaume wataifa hili kuwa sii kitu. Najambo lakushangaza hakuna hata mmoja anashituka nakujiuliza kile kinasemwa. Jaman mim nasema tuache utani maana kama USA taifa kubwa na tajiri bado lina mwangalia mwanaume kama lulu ktk nyanja mbal mbal bas tujiulize kulikoni kwetu. NAPINGA UPENDELEO UNAOPONDA UTU WA MWANAUME NA KUSEMA HILO HALIKUBALIKI, TUNAITAJI WANAWAKE WATAKAO KUWA MSAADA KWA WANAWAKE WENZAO NA SIO KUPIGA MAJUNGU NA UMBEA, NIBORA KUWA NA VIONGOZ KUMI JASIR WA KIKE WATAKAO WAONGOZA WANAWAKE WENZAO KULIKO WABUNGE MIA WASIO NA UJASIR WALA MWELEKEO ILA FITINA NA MAJUNGU BUNGENI. TAIFA HILI BILA KIKWETE INAWEZEKANA, TAIFA HILI NI LA WOTE WANAWAKE NA WANAUME NA UPENDELEO NIKUUWA UTAIFA WETU NA TAMADUNI ZETU. Mungu ibariki Tanzania.