Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,908
- 18,875
Mikocheni asili yake ni miti ya mikoche. Mikocheni maana yake mahali penye mikoche. Mikoche yenyewe ni miti iliyo kama miwese/minazi. Miti hii inapatikana pwani ya Afrika Mashariki hadi huko South Afrika. Pia inazaa matunda yaliwaywo.
Matunda yake.
Masaki limetokana na neno la Kizaramo Saki. Saki maana yake ni eneo wanakougulia watu/wagonjwa. Masaki ni wingi wa saki.
==========================
Jina Kariakoo lilianza tokea enzi kabla ya mjerumani, kijiji hiki kiliitwa "Carrier Corps." Hii sehemu ilipata umaarufu sana kwa sababu ilikuwa frequently raided by slave masters kuja kuchukua watumwa. Kwa mantiki hii, jina halisi ni Carrier Corps ila wenyeji walitamka walivyoweza, hence, Kariakoo.
Matunda yake.
Masaki limetokana na neno la Kizaramo Saki. Saki maana yake ni eneo wanakougulia watu/wagonjwa. Masaki ni wingi wa saki.
==========================
Jina Kariakoo lilianza tokea enzi kabla ya mjerumani, kijiji hiki kiliitwa "Carrier Corps." Hii sehemu ilipata umaarufu sana kwa sababu ilikuwa frequently raided by slave masters kuja kuchukua watumwa. Kwa mantiki hii, jina halisi ni Carrier Corps ila wenyeji walitamka walivyoweza, hence, Kariakoo.