Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

ni kweli binadamu wa leo tuna mabadiliko kadhaa miilini mwetu tofauti na wa karne zilizopita iliyosababishwa na sababu tofauti tofauti kama utofauti wa eneo kijiografia,shughuli za jamii husika nk. vilevile naamini kweli dinosaurs walikuwepo kipindi hicho bila ubishi maana kama vile ulivyosema tunao ushahidi wa mabaki yao.


ninachopinga mkuu ni hiyo hoja yako hapo juu kuwa Waafrika IQ yetu ni ndogo tangu kitambo...hii si kweli kabisa!kama mifano niliyokutolea hapo juu ya 'civilizations' zilizopita ambazo mpk leo alama zake duniani bado zipo...kama IQ yao ingekuwa ndogo wangefanikiwa yote hayo?? mfano kuna mfalme alipata kutawala kutoka Kushi(Ethiopia) alieitwa Nimrod ambae ufalme wake ulisambaa karibia dunia yote ya kale kama miji ya Babylon,Erech,Accad(Akkad). ndie alieasisi mpango wa kuwajumuisha jamii zote ziwe nchi moja chini yake...na ndie anaedhania na baadhi ya wataalamu kuwa ndie mfalme wa kwanza duniani. huyu jamaa alikuwa ni mtu MWEUSI! na pia lazima ujue mkuu kuwa ktk 'dating' ya mafuvu pamoja na 'fossils' zingine njia inayopenda kutumiwa na wataalamu ni carbon 14 ambayo ndio inaaminiwa kuwa ina uwezo wa kufanya hiyo kazi kwa usahihi zaidi. lakini kuna ushahidi(uniwie radhi sina rejea hapa nilipo mkuu) ya kuwa carbon 14 ina matatizo yake lukuki ambayo yanaweza sababisha ikatoa makadirio potofu! na ndio maana kuna baadhi ya wataalamu duniani wanasita kuitumia mara nyingine ktk kazi zao.
Nina ufahamu wa kutosha juu ya Carbon 14 kutotoa precise date ya tukio but it's still the most reliable technology out there.
Ukichukulia kuwa sisi Waafrika tulizaliwa na mtu mmoja utapata shida sana kuelewa hypothesis yangu.
Nilishasema baada ya wanadamu wa kwanza kutoka Afrika, vizazi vyoo vya baadaye vilianza kurudi barani Afrika na ndiyo hao Waafrika ya Kaskazini kuanza Tanzania (Wairaq na Wagorowa) hadi Kenya, Ethiopia, Somalia, Djibouti na Eritrea.
Kukimbilia tu kusema ni waafrika siyo tatizo bali ni je wana nasaba gani iliyotawala kwao? Ni ya kizungu ama kiafrika?
 
Watu wengi huwa wanadai Kabila fulani lilipendelewa kielimu wakati wa ukoloni. Wengine wanadai wakati wa Uhuru Serikali ilibagua maeneo na kuyaacha mengine bila miundombinu ya elimu, mfano watu wa Kusini huwa wanalalamikia kutengwa.
Ukweli ni kwamba, uwezo wa shule nzuri na mazingira mazuri huwa unasaidia wanafunzi wa madaraka ya chini na "KADRI MTU ANAVYOPANDA JUU KIMADARASA, UFAULU WAKE UNAZIDI KUTEGEMEA JENI "GENES" KUTOKANA KUTEGEMEA MAZINGIRA YA KIELIMU"
Mifano ni mingi: wanafunzi wengi kutoka familia za kitajiri huwa wanafanya vyema sana katika elimu ya msingi na hata sekondari kutokana na kupewa mahitaji yote muhimu. Hata hivyo, wanapofika kwenye elimu za juu lakini hasa elimu ya Chuo kikuu, hapo ndio unashangaa mtu anakua wa kawaida mno huku wengi wao wakifikia hadi kudisco.
Hata hivyo, watoto wa masikini wamekuwa wakipata shida sana kushinda elimu za msingi na o-level. Hata hivyo, kijana huyo anapofanikiwa kutoka hapo huwa yeye na karibia watoto wote masikini hakuna anayefeli kutokana na kwamba wanaingia kwenye elimu ambayo mazingira hayatofautiani sana na wa familia tajiri.
Kamwe kwa ugumu wa elimu ya Chuo Kikuu hasa UDSM, huwezi kufaulu mitihani kama ulibebwa bebwa na mazingira.
 
Mfano dhahiri ni huu: Watu wamekuwa wakilalamikia upendeleo wa wakoloni na Serikali baada ya Uhuru. Lakini mwishoni mwa miaka ya 2000s, zilianzishwa shule za sekondari za kata nchi nzima. Baada ya miaka kama 10, shule hizo zimeshajiimarisha. Hata hivyo ukitaka kuelewa Statement niliyotoa awali, utagundua kuwa licha ya ongezeko la wanafunzi wa sekondari kwa kila mkoa ama kabila, wengi wao bado hushindwa mitihani ya kidato cha IV na cha VII na kujikuta wamewaacha tena wababe wa miaka yote.
Kumbukeni kuna mwaka (sijui 2009?) wanafunzi wengi wa kidato cha IV walifeli sana, Serikali ikaamua kushusha passmark ili wanafunzi wengi wasiwe wanafeli.
Kwa sasa makabila mbalimbali yanapeleka watoto wao Elimu ya vyuo vikuu. Hata hivyo, ukifuatilia utashangaa kukuta kuwa, wengi wamefanikiwa kwenda vyuoni baada ya kushushwa passmark kwa kiwango kikubwa.
Nakumbuka mimi wakati tunaomba kujiunga na elimu ya chuo kikuu, wale wote waliopata Division I ya pointi 9 yenye principal CCC, waliishia kupata ualimu na kama haukuwa na I ya point 4 kwa mvulana yenye principal AA za History na English, usingepata Law na kama haukuwa na I ya 7 yenye principal AB za History na English, usingepata Political Science &a Public Administration (PS&PA).
Leo hii nenda Udom na vyuo vingi vya private, mtu ili mradi amepata DD pekee anapata chuo. Kwa jinsi ilivyo sasa, kipindi chetu darasa zima lenye wanafunzi 76 wangeenda wote Chuo kikuu isipokuwa watatu pekee.
Hivyo ukitanua sana magoli, utashindwa kujua ni nani huwa ni mfungaji bora.
 
Unasema kweli, niliwahi kuisoma taarifa hiyo.
Lakini suala la muhimu ni kuwa, ugunduzi huo ulikuja kwa kuchelewa sana kulinganisha na binadamu wengine wasio waafrika japokuwa kwetu sisi Wabantu, ilikuwa ni mafanikio makubwa sana kwa eneo lote la Afrika Mashariki na Kusini. Hata ufugaji kwetu Kusini mwa Jangwa la Sahara uliingizwa miaka kwenye miaka ya 1000 BC wanyama hao wamekuwa wakifugwa Kaskazini mwa Sahara tangu miaka ya 7,000 BC.
Hata hivyo, hata hapa Afrika, ukiacha Hamites na Semites wa Kaskazini mwa Afrika, Wanigeria ndio walianza kugundua teknolojia hiyo katika Karne ya tatu (about 200 AD), nadhani utakumbuka Nok Culture. Matumizi hayo ya chuma yamewafanya wanigeria, by far kuwa, the brightest and most populous nation in Africa. Hii ni kwa kuwa teknolojia ya chuma iliongeza sana uzalishaji wa chakula licha ya kwamba pia ina hali nzuri ya hewa kwa eneo kubwa kuzidi nchi zote za Afrika, ukitoa DRC.
Mtoa mada

Bado sijakupata vizuri, kwamba tofauti ya rangi za binadanu ilitokana na nini( au muonekano in general, rangi nywele etc).

Tafadhali rejea points hizo kwa ufupi, coz kwenyw maelezo yako kuna mkanganyiko mkubwa.
 
Nadhani kuna factors nyingi kwa sababu kama akili waafrika tulikuwa tunawashinda wazungu darasani lakini linapokuja kwenye creativity na innovation wazungu walituacha. Hata hapa kwetu kuna makabila wako very bright lakini linapokuja kwenye swala LA kutumia common sense tu ni zero. Naona genes na species zinachangia kwa asilimia Fulani.
Nadhani hamkuwazidi kwa akili, isipokuwa mliwazidi kwa kukomaa na makaratasi.

Natarajia tuipime akili kwa creativity na innovation
 
Kuna kitu nikusahihishe hapo chini MISRI IKO AFRIKA. Nashangaa watu wengi huwa hawaelewi kuwa Misri ni Afrika kama ilivyo Ye-men, Oman, Iraq, Syria, Jordan, Saudia, Palestina na Israel. hizi zote ni nchi zilizopo Afrika Kwakua zipo juu ya African tectonic plate a.k.a msingi wa bara letu
Mnepha, Huo msingi wa bara letu ndio ukoje
 
Ni kweli ulichosema kuwa Tuareg hawana damu ya Bantu. Lakini kumbuka ni ngumu sana hawa watu yaani Hamites na Shemites kuwatenganisha, maana tangu kale waliowana na kuingiliana mara kwa mara. Hata shemites waliowa wanawake wakanaani ambao walikuwa Hamites ingawaje twafahamu kuna distinction kati yao.

Kuhusu karne na miaka inavyosomeka , karne ya kwanza AD, ni kuanzia mwaka 65 AD hadi mwaka 164 AD, Hivyo karne ya 14 AD huanza mwaka 1365 AD hadi 1464 AD. Kama kuna sehemu nimeeleza miaka 1470 AD ni karne ya 14 ni makosa ya kiuandishi.
Kuhusu Timbuktu kuwa shut down by Moors, tafiti historia ya hawa Moors, baada ya kufurumushwa Ulaya, walipofika Afrika, walifanya nini kule West Africa, angalia hizi discussion, kumbuka Half of our History is not yet told. MOORS INVADED TIMBUKTU IN A YEAR 1591 and shut down.

So sad!
 
Kaka hapa umeleta maada mzito na yenye maudhui mapana sana sii tu kwa jamii zile za kale pia hata hizi jamii za siku hizi bado wanalia njaa, na Wiki mbili zilizopita nilikuwa Manyara nikimaanisha pale babati, nikaelekea mbulu na ziara yangu ikaishia kata ya Haydom nikarudi Dar.

THE WORLD KNOWS US, BUT WE DONT KNOW OURSELVES, THE WORLD DEPLOYS THEIR THINK TANKERS PURPOSEFUL TO STUDY US AS WELL AS TO RESEARCH US WHAT WE ARE THINKING NOW ABOUT OURSELVES, AT WHAT LEVEL DO WE ACTUAL KNOW WHAT TO DO IN ORDER TO OVERCOME OUR DEADLY SITUATION ECONOMICALLY, SOCIALLY, CULTURALLY AND SPIRITUALLY.

HAVE WE AWAKENED TO KNOW THE REASON OF BEEN YAHWEH'S PEOPLE ON EARTH? OR ARE WE STILL DEAD MENTALLY AND SPIRITUALLY?

Kuna viumbe hua vinaheshimu na kulinda sana mazingira ya uasili (Protectors of Nature) kama ndio njia ya kudmisha uhai na uwepo wao. Hili ni swala la Kiroho sana. Viumbe hivi hupenda na hupendwa na nature kwa vile ndio chanzo cha uwepo wetu. Kuheshimu kwao NATURE, Kulinda kwao NATURE, huwafanya wawe na maarifa makubwa ya kukabiliana na athari yeyote wanayokumbananayo katika mazingira yao. They are not Corrupted or Polluted beings, they are not defiled and they are not Materially beings.

Kupungua kwao kwa idadi inatokana na sisi kuwapolute kwa kuwanyang'anya maeneo yao ambayo wamepreserve kwa miaka bilioni eti kuwapa wawekezaji ambao ni Wazungu. Cha ajabu hao wazungu wanakuja kuwinda kama wao, wanakuja kuharibu mazingira kwa kuchimba Vito ambavyo ni Materially objects ambavyo kwa jamii hii, hawaitaji.Hawa ndio bin-adamu (The purest house of Human), twaweza kufahamu dawa za asili kupitia jamii hizi na tukaongeza manjonjo zikawa ni dawa za kisasa.



Pia Wazungu huwazingira hawa kwakuwafanyia utafiti, hujifunza mambo mengi sana kupitia jamii hizi kwani zina siri mzito sana, kama elimu ya science ya anga za juu. Tusidhani kama wazungu wanakwenda maeneo haya kutembelea Wanyama, La hasha, wanafaidika sana na Jamii hizi ambazo kwa namna nyingine sisi tunawadharau.

Kuhusu ndg zetu wanaozunguka Maziwa kuwa na Njaa, nadhani hapa kuna mambo lazima tuyatazame kwa jicho la Tatu.
Mosi, jamii hizi huwa ni jamii zinazojishughulisha sana na UVUVI na si UKULIMA.
Pili, Mifumo ya Serikali ni ya ukandamizaji, huchochea woga wa kuthubutu kwa kuhofia kukamatwa na kufungwa
Tatu, Heshima na Woga wa Serikali kwenye Mikataba ya Kilofa ya matumizi ya Maji ya Mito na Maziwa chini ya wakoloni
Nne, Urithi wa UVIVU wa vizazi vilivyo zunguka Mito na Maziwa.

Maoni na Mapendekezo: Afrika ibadili majina ya washenzi wa Ulaya katika Mito, Milima, na Maziwa yetu katika mitaala yake kuanzia shule za AWALI hadi Vyuo Vikuu.
Pia, Vitabu vyote vya mitaala na kiada, zisiwekwe kabisa picha za WAZUNGU, WAARABU, WAHINDI NA WACHINA.
Mikutano inayofanyika ya Serikali Kuu na Taasisi zote, wasiwapo WAZUNGU, WAARABU, WAHINDI NA WACHINA unless otherwise kuna mtu sio watu, Mtu kaalikwa kwa utaalamu wake.
Pia Serikali ianzishe operation Ondoa Njaa kamaenzi za Mwalimu, Kila Kijana katika kaya lazima awe amelima Hekari 5 za Mahindi ama Mpunga, Ulezi, Uwele mtama na Maharagwe na Serikali itoe ruzuku kwa wakulima wote nchini na ijiwekee malengo ya kuhakikisha kila kijiji kunakuwa na Tractor 3 kwa kuanda Jamii iwe ndio wawekezaji wakubwa wa kilimo.
Hapa Njaa haitakuwapo, hatutakua na Tegemezi tena, na Nchi itakuwa na Uchumi IMARA na Endelevu.

Mawazo mazuri xn, hakuna maendeleo palipo na njaa...
 
Watu wengi huwa wanadai Kabila fulani lilipendelewa kielimu wakati wa ukoloni. Wengine wanadai wakati wa Uhuru Serikali ilibagua maeneo na kuyaacha mengine bila miundombinu ya elimu, mfano watu wa Kusini huwa wanalalamikia kutengwa.
Ukweli ni kwamba, uwezo wa shule nzuri na mazingira mazuri huwa unasaidia wanafunzi wa madaraka ya chini na "KADRI MTU ANAVYOPANDA JUU KIMADARASA, UFAULU WAKE UNAZIDI KUTEGEMEA JENI "GENES" KUTOKANA KUTEGEMEA MAZINGIRA YA KIELIMU"
Mifano ni mingi: wanafunzi wengi kutoka familia za kitajiri huwa wanafanya vyema sana katika elimu ya msingi na hata sekondari kutokana na kupewa mahitaji yote muhimu. Hata hivyo, wanapofika kwenye elimu za juu lakini hasa elimu ya Chuo kikuu, hapo ndio unashangaa mtu anakua wa kawaida mno huku wengi wao wakifikia hadi kudisco.
Hata hivyo, watoto wa masikini wamekuwa wakipata shida sana kushinda elimu za msingi na o-level. Hata hivyo, kijana huyo anapofanikiwa kutoka hapo huwa yeye na karibia watoto wote masikini hakuna anayefeli kutokana na kwamba wanaingia kwenye elimu ambayo mazingira hayatofautiani sana na wa familia tajiri.
Kamwe kwa ugumu wa elimu ya Chuo Kikuu hasa UDSM, huwezi kufaulu mitihani kama ulibebwa bebwa na mazingira.
Uko vzuri, umenipa hamasa ya kuwa na home library iliyosheheni, kitu kizuri ni kwmb napenda kujisomea...
 
Vipi kuhusu I.Q distribution worldwide ambapo study zinaonyesha Asians wanaongoza followed by Caucassians?
Je validity yake ikoje?
 
Mtoa mada

Bado sijakupata vizuri, kwamba tofauti ya rangi za binadanu ilitokana na nini( au muonekano in general, rangi nywele etc).

Tafadhali rejea points hizo kwa ufupi, coz kwenyw maelezo yako kuna mkanganyiko mkubwa.
Muonekano wetu wa rangi ulianza kubadilika baada ya binadamu wa zamani kutoka barani Afrika na kuingia Eurasia (Ulaya na Asia). Vyanzo vinadai binadamu wa kale aliyekuwa katika hatua ya Homo Erectus ndio walitaka Afrika miaka ipatayo 400,000 iliyopita na kugawanyika barani Ulaya (Neanderthal) na barani Asia. Baadaye binadamu wa kisasa Homo Sapiens ndio walianza kutoka Afrika kwenye miaka 100,000 - 60,000. Kutokana na kuishi maeneo ya baridi kwa muda mrefu, walianza kubadilika hadi kufikia hatua waliyonayo hao watu weupe.
Sijui kama nimekujibu ulichotaka kukijua.
 
Ukishasema kuwa utofauti wa maendeleo uliyopo katika nchi za kiafrika na hizo zilizoendelea zilitokana na changamoto za asili za kijiografia maanake unazungumzia utofauti katika kuwa SMART na sio mambo ya IQ (kiwango cha akili). Kwa kukuongezea tu ni kuwa uzubaifu au kutokuwa smart kwa jamii zetu kunasababishwa sana na Viongozi wanaoaminiwa na hao wananchi kuwa wawaongoze na mwisho wake unaona kuwa elimu ya kwanza anayonyimwa huyo citizen ni CIVICS (Uraia) ili aendelee kuwa mjinga hivyo kutawaliwa kadri ya matakwa ya viongozi wetu wa kiafrika (bara jeusi).
Suppose Nyerere angekuwa madarakani hadi leo kama ilivyo kwa Mugabe, unadhani hali ingekuwa hv? Angalau alionesha kuwa alikuwa anajenga LEGACY ya Kitanzania kama sio Tanganyika! Uzalendo unaanzia hapo.
 
Watu kama Bakhresa, Mengi ,MO , Manji ,,, watu wenye mafanikio kwenye biashara,,,, hawa watu wana elimu kubwa ya biashara.



. .
 
Nadhani hamkuwazidi kwa akili, isipokuwa mliwazidi kwa kukomaa na makaratasi.

Natarajia tuipime akili kwa creativity na innovation
Kwenye creativity na innovation bado sana sisi black.
Hata hivyo katika mojawapo ya maajabu ya sayansi, innovation ni kitu kinachohama kutoka jamii moja kwenda jamii nyingine baada ya kipindi fulani. Ndiyo maana kila generation ama era imetawaliwa kiuvumbuzi na jamii moja ambayo jamii hiyo inapoanguka ndiyo inafuata jamii nyingine na kuendelea kupokezana kama ifuatavyo:
(1) Ancient civilizations:
  • Mesopotamia civilization:
    • Sumerian civilization - 3800 BC - 2000 BC.
    • Babylonia civilization - 2000 BC - 1500
    • Hittite civilization - 1400 BC - 1200 BC.
  • Greek (Hellenic) civilization: 2600 BC - 200 BC.
    • Minoan (Crete) civilization - 2600 BC - 1200 BC. Ujenzi wa kasiri za kifalme (palaces).
    • Mycenae (Greek city-states) civilization - 1600 BC - 300 BC. Demokrasia.
    • Macedonia civilization - 300 BC - 200 BC.
  • Roman civilization: 400 BC - 400 AD.
    • Roman civilization 400 BC - 400 AD.
    • Carthage civilization
(2) Modern Civilizations: 1400 - Today
  • Western civilization: 1400 - 1950. Mapinduzi ya viwanda.
    • Iberian (Portugal & Spanish) civilization - 1400 AD - 1700 AD.
    • North Western civilization - 1600 - 1970.
    1. Dutch civilization - 1,600 AD - 1700 AD.
    2. French & British civilization - 1700 - 1950.
    3. Belgium & German civilization - 1800 - 1970.
    4. American civilization - 1850 - 2000.
    • Nordic (Scandinavian) civilization - 1900 - 2000.
  • Russian civilization 1900 - 1980. Space technology.
(3) Far East Civilization 1850 - Today.
  • Japan civilization 1850 - 2000.
  • Korea civilization 1970 - Today.
  • China civilization 1990 - Today.
  • ASEAN Civilization 1990 - Today.
    • Taiwan
    • Philippines
    • Thailand
    • Malaysia
    • Singapore
    • Indonesia.

Civilizations za Magharibi zimekuwa continuous tangu kuanza kwa Civilizations za kwanza duniani ambazo ni Sumerian, Egyptian na Chinese (3800 BC - 2000 BC). Civilizations zilikuwa zikikua kutoka Mashariki mwa Bahati ya Mediterranean kuelekea Magharibi mwa Bahari hiyo.
Of course kuna civilizations nyingine kama Far East na India Sub-continent lakini hizo zimekuwa hazisambai kama ya Western Civilization tangu zamani.
 
Such a brilliant piece of the elite from an African perspective. Am though here not to propagate rhetoric ideals only to appease my desire. Am a History and Social Analyst so my desire will always dwell on factual and objective oriented statements.
You can't solve the problem by merely walking away from it rather you've to face it. Let's face the "reality" in order to be in a good position to master our daily evolving mankind.
Your ommision of the achievements made by Africans during the kemetic era and misallocation of the songhai empire creates doubt on your understanding of the true historical facts
 
Your ommision of the achievements made by Africans during the kemetic era and misallocation of the songhai empire creates doubt on your understanding of the true historical facts
I didn't understand "kemetic era" pliz, you would better clarify it to me.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom