Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Unaijua Zimbabwe kweli au unahadithiwa! South Africa hakutaliwa na uk,
Wewe usidhani naongea tu humu kupoteza muda? Wewe unaisikia tu Zimbabwe nadhani unataka uniambie matatizo ya kiuchumi na kimaisha iliyo nayo tangu 1998 ilipoanza kuchukua mashamba, right?
Unaposema South Afrika hakutawaliwa na Mwingereza, nani alimpa uhuru mwaka 1934 na 1960?
 
Tuareg ni mchanganyiko wa damu, kuna wengine ni we


Kama hilo ni la uhakika , je kule Amazon kuna wale wahindi wekundu, hawafanani nasi waafrika ? Mazingira ni 99% sawa ....
Wale wahindi wekundu ni Waasia waliohamia huko kipindi Mkondo Bahari ya Bering unaotenganisha Siberia na Alaska ulipokuwa ni barafu ya kudumu.
 
Kibaiolojia, inaelezwa kuwa, kinachofanya mmea kukua ni sawasawa na kinachofanya mwanadamu pia kukua.
Mimea yote inahitaji mahitaji muhimu yafuatayo ili kukua na kustawi:
  • Madini kwenye udongo. Udongo wenye virutubisho vingi unazalisha mmea wenye afya nzuri.
  • Maji.
  • Hewa (carbon dioxide, hydrogen na oxygen).
  • Mwanga wa jua.
  • Joto stahiki kwenye udongo.
  • Hewa stahiki kwenye udongo.
Kiwango ambacho mmea unahitaji kwa kila vitu hivyo tajwa, itategemea na asili ya ya mmea husika.
Jinsi mimea inavyokua kutoka hatua ya uchavushaji hadi mavuno - "the growing cycle" inahusisha: Pollination - Seed formation - Seed dispersal - Germination - Continual growth (kupitia processes za photosynthesis, nutrient transfer na transpiration).
Ulishajiuliza kwa nini mmea wenye asili ya Ulaya mfano Pine hauwezi kukua nchi za Afrika ila mpaka kwenye maeneo yenye baridi? Huwezi kumkuza tembo katika nchi za Ulaya (labda kwa sasa baada ya kukua kwa teknolojia).
Hivyo hiyo kanuni nayo inawafuata wanadamu - Mzungu hata kama atazaliwa Afrika, bado ataendelea kuwa na sifa za kizungu zaidi kuliko za kiafrika kama ambavyo Mwafrika aliyezaliwa Ulaya ataendelea kudisplay tabia na akili za uafrika zaidi kuliko uzungu.
Kwa ujumla, Bara la Amerika ya Kaskazini na Ulaya yana idadi kubwa ya Waafrika wasomi kutokana Waafrika bright kukimbilia huko. Lakini watoto wanaowazaa huko, hawana tofauti kubwa kiakili na wale walioko Afrika kwa sababu wana nasaba za uafrika kuliko za uzungu.
 
Unazifahamu vyema Nchi za Iberian Pensinsula (Spain & Portugal) kweli? Fuatilia kwenye Karne ya 15 - 17, wapi kati ya Iberia vs Western Europe (Uingereza, Ufaransa, Ubelgiji na Uholanzi) walikuwa foremost katika Capitalism (Mercantile Capitalism).

Nazifahamu Sana (tokea Historia yao ya kutawaliwa na waarabu, kujikomboa, kunyanyuka na kuwa Dola mpaka kuanguka kwao), walikuwa Ila kwa Sasa hawapo hivyo, na akili zao pia nazijua (nishakaa na kufanya kazi nao Sana).
 
Hao sio Waafrika, ni jamii ya Homo Sapiens (kutoka Afrika) waliozaliana na Denisovars (Homo Erectus waliohama Afrika zaidi ya miaka milioni 1 iliyopita). So, watu weupe (Wazungu, Waasia na Waamerika) ni mchanganyiko wa aina mbalimbali za watu tofauti na sisi WaAfrika ambao ni matokeo ya Homo Sapiens Evolution kutoka Afrika Mashariki na kusambaa West hadi South Afrika.
Tunapoongelea Wazungu na Waasia, pamoja na Waarabu, msisahau kufikiria juu ya Anunnaki.

Vilevile, kumbukeni kuwa, kilicho- na kinachotutesa sana Waafrika ni magonjwa hasa Malaria, trypanosomiasis, na yellow fever. Haya magonjwa yamekuwa na effect kubwa sana kwa akili ya Mwafrika. Kwa wenzetu, hawana magonjwa haya, isipokuwa tu South America ambako kumekuwepo Yellow Fever. Vilevile, baadhi ya maeneo ya India yana malaria lakini siyo kali kama malaria ya Afrika.

Kwa maana hio , *theory* ya kusema kuwa Afrika ni chimbuko la wanadamu , inajipinga wenyewe ( Hao Homo Erectus, walitokea Afrika pia ? Au walikuwa huko nje ya Afrika ? Je evolution bado inaendelea ? Kama ndio , kwa karne hii, kuna kiumbe gani kimebadilika ? Kama hamna , je *theory* ya evolution huoni Kama inatupiga miaka mingi ili tushindwe kuhoji? Je pia huoni katika upande wa Historia kuwa vyanzo ni vitabu vya wazungu ? Tuamini yote au nasi tufanye utafiti wetu ? Maana mshindi maisha huandika historia hâta Kama sivyo , rejea Vita vya Vietnam, Afghanistan n.k)
 
Kwa maana hio , *theory* ya kusema kuwa Afrika ni chimbuko la wanadamu , inajipinga wenyewe ( Hao Homo Erectus, walitokea Afrika pia ? Au walikuwa huko nje ya Afrika ? Je evolution bado inaendelea ? Kama ndio , kwa karne hii, kuna kiumbe gani kimebadilika ? Kama hamna , je *theory* ya evolution huoni Kama inatupiga miaka mingi ili tushindwe kuhoji? Je pia huoni katika upande wa Historia kuwa vyanzo ni vitabu vya wazungu ? Tuamini yote au nasi tufanye utafiti wetu ? Maana mshindi maisha huandika historia hâta Kama sivyo , rejea Vita vya Vietnam, Afghanistan n.k)
No, bado Theory ya Evolution inapoint Africa kama cradle of mankind. Hao Homo Erectus, waliondoka Afrika zaidi ya miaka milioni 1.7 wakiwa wameshafikia hiyo stage ya Homo Erectus. Hao hao Homo Erectus wamekua huko (Ulaya ya Kusini na Asia) kwa muda huo mrefu toka miaka hiyo.
Mind you, tofauti na utafiti wa awali, imegundulika kuwa, kumekuwepo migrations nyingi za out of Africa. Na utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa, hadi kufikia miaka 400,000, tayari Homo Erectus wa Afrika walikuwa wameshakua Homo Sapiens (modern man). Hivyo, tofauti na utafiti wa awali, imeshakubalika na wanahistoria kuwa, Homo Sapiens walikuwa tayari wameshatoka Afrika mara kadhaa, kabla ya Migration kubwa inayotambulika sana ya miaka 120,000 - 60,000 iliyopita.
 
Kwa maana hio , *theory* ya kusema kuwa Afrika ni chimbuko la wanadamu , inajipinga wenyewe ( Hao Homo Erectus, walitokea Afrika pia ? Au walikuwa huko nje ya Afrika ? Je evolution bado inaendelea ? Kama ndio , kwa karne hii, kuna kiumbe gani kimebadilika ? Kama hamna , je *theory* ya evolution huoni Kama inatupiga miaka mingi ili tushindwe kuhoji? Je pia huoni katika upande wa Historia kuwa vyanzo ni vitabu vya wazungu ? Tuamini yote au nasi tufanye utafiti wetu ? Maana mshindi maisha huandika historia hâta Kama sivyo , rejea Vita vya Vietnam, Afghanistan n.k)
Watu wanaowatuhumu Wazungu kuwa, wameandika vitabu kujisifia wao wenyewe watakuwa wanawaonea Wazungu bure. Wenzetu walishatoka kwenye stages za kuishi kwa intuition na badala yake wanakazania zaidi empiricism. Ni fahari kwao kuwa wa kwanza kugundua ama kuvumbua kitu. Na kwa elimu ilivyokua hivi, ni vigumu kwao kusifia kwao wakati utafiti unakataa. Nakwambia swali hasa Kabila ya Karne ya 20, Wazungu walisumbuka sana kuona kuwa, mafuvu ya binadamu wa kale yalikuwa yakigunduliwa tu nje ya Ulaya, indeed barani Afrika kwani hawakutaka kuwekwa kundi moja na Waafrika lakini kupitia Carbon 14, ilimaliza ubishi na kuua stereotype yao dhidi ya origin ya binadamu.
Hata hakuna haja ya kutowaamini kwa kuwa, taarifa zote muhimu sana za Historia zimepatikana Mashariki ya Kati na Afrika na si Ulaya, so hawana ujanja kabisa.
Kuhusu hoja kuwa, kuna kiumbe gani kimebadilika, nadhani bado wako sahihi kwani mabadiliko ya binadamu kutoka stage moja hadi nyingine yalikuwa yakichukua muda mrefu wa maelfu ya miaka kama siyo malaki. Mfano, Binadamu kutoka Stages za Australopithecus, Homo Habilis, Homo Erectus na Homo Sapiens ilikuwa inachukua zaidi ya miaka milioni 1 hadi 500,000. So licha ya sisi Homo Sapiens kuwa na muda mfupi tu wa miaka ipatayo 100,000 bado tumebadilika sana tofauti na wengi wanavyodhani. Mfano, Homo Sapiens wa zamani Hawa kuwa na nywele za dhahabu ama macho ya bluu iliyokolea (blonde) ambayo ni common kwa Ulaya ya Kaskazini. Leo hii, idadi kubwa tu ya watu katika Mashariki ya Kati wana macho ya blue pia na nywele za blonde. Leo hii Waafrika tunavutia sana tofauti na Homo Sapiens wa kwanza (angalia mchoro wake)

IMG_6357.JPG


IMG_6356.JPG
 
Kwa maana hio , *theory* ya kusema kuwa Afrika ni chimbuko la wanadamu , inajipinga wenyewe ( Hao Homo Erectus, walitokea Afrika pia ? Au walikuwa huko nje ya Afrika ? Je evolution bado inaendelea ? Kama ndio , kwa karne hii, kuna kiumbe gani kimebadilika ? Kama hamna , je *theory* ya evolution huoni Kama inatupiga miaka mingi ili tushindwe kuhoji? Je pia huoni katika upande wa Historia kuwa vyanzo ni vitabu vya wazungu ? Tuamini yote au nasi tufanye utafiti wetu ? Maana mshindi maisha huandika historia hâta Kama sivyo , rejea Vita vya Vietnam, Afghanistan n.k)
Nimefurahishwa sana na hoja yako kuwa, "Evolution Theory inatupiga miaka mingi ili tushindwe kuhoji." Unasema kweli kuwa, pamoja na jitihada zangu za kusoma historia, kichwa changu kilikuwa kinapata shida sana kuelewa mambo yote ya Mwanadamu katika Zama za Mawe (Stone Ages). Hata hivyo, hiyo miaka inapatikana kupitia upimaji wa kisayansi kwa kutumia vyanzo mbalimbali ikiwemo Carbon 14.
 
Hahaha..mzungu ana akili zaidi ya mwafrika ndio maana amekuletea dini yake na wewe umeiamini...Bila mzungu hata huyo Mungu wako unaemuamini usingemjua.,..hehehe niambie kabla ya kuja mzungu waafrika walikuwa na imani gani?....
cc kiranga...
yupo gizani??
 
Nimefurahishwa sana na hoja yako kuwa, "Evolution Theory inatupiga miaka mingi ili tushindwe kuhoji." Unasema kweli kuwa, pamoja na jitihada zangu za kusoma historia, kichwa changu kilikuwa kinapata shida sana kuelewa mambo yote ya Mwanadamu katika Zama za Mawe (Stone Ages). Hata hivyo, hiyo miaka inapatikana kupitia upimaji wa kisayansi kwa kutumia vyanzo mbalimbali ikiwemo Carbon 14.

Lakini hio carbon 14 pia ina mashaka Yake, baadhi ya hao Hao wanasayansi hawaikubali !!! Lakini *theory* sio kithibitisho, sio Kama nambari 2+2 = 4.
 
Lakini hio carbon 14 pia ina mashaka Yake, baadhi ya hao Hao wanasayansi hawaikubali !!! Lakini *theory* sio kithibitisho, sio Kama nambari 2+2 = 4.
Yes, unasema kweli. Hawaiamini sana Njia ya Radiocarbon dating kwa sababu haina uwezo wa kutoa precise period bali ina-estimate. Sasa hivi wanatumia pia nyingine kama remote sensing.
Theory siyo kithibitisho, ndiyo maana huwa kuna theory nyingi zinazopingana. Muhimu ni kuwa, miongoni mwao huwa inajitokeza theory moja inayokubalika na umma wa wasomi duniani na hiyo hutumiwa zaidi katika Academic Disciplines, mpaka itakapotokea nyingine ambayo ni more conclusive kwa hoja zinazokinzana.
 
Hahaha..mzungu ana akili zaidi ya mwafrika ndio maana amekuletea dini yake na wewe umeiamini...Bila mzungu hata huyo Mungu wako unaemuamini usingemjua.,..hehehe niambie kabla ya kuja mzungu waafrika walikuwa na imani gani?....

Pole, ingia rohoni, tutaongea lugha moja. Ukiwa mwilini, mie niko rohoni, hatuwezi kuelewana.
 
Naakubaliana na hoja. Mazingira yana nafasi kubwa sana ku shape mwanadamu na waafrika kwa asilimia kubwa wako hivi kwa sababu ya mazingira. kuna waafrika wachache wenye IQ kubwa kuliko wazungu japokuwa ni wache sana.
hawa, pamoja na akili zao wanaathiriwa sana na tamaduni zao na mazingira wanayoishi.
ingewezekana kuwachagua wale wenye akili sana na kuwatenga katika nchi moja wakazaliana, genetically tungepata kizazi super. But bahati mbaya wajinga na wenye akili huchangamana na kuzaa kizazi duni. WAtusi ni seleective sana hawapendi kuoa/kolewa na wafupi na hivi wameendelea kubaki hivo
tunapooa na kuolewa hebu basi tuangalie nasaba za hao wenza wetu. tusivutiwe tu na wowowo au sharabu!
huko mitaani wadada hata wasomi huwashobokea sana boda boda na makonda kisa lifti. hawajui kwamba walio wengi waliopt hizi kazi baada ya masomo kwashinda. matokeo yake ni kuzaa watoto ambao ni kuzozana na walimu kila mara kwa kushindwa masomo.
wazungu wanaweza, kwa siri, kuwa na mkakati wa kupunguza kizazi cha watu wenye akili ndogo ili wabaki walio na akili kubwa tu
Ili waafrika wakomboke ni heri dunia ingechangamana. nasi huku africa tuanze kuwa selective tuache kupachika au kupachikwa mimba na yeyote hata mwenye IQ ndogo kisa shape! Evolution theory applies!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom