Asili ya kudumaa kwa akili ya Mwafrika kulinganisha na Wanadamu wengine

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_0847.PNG
Ulimwengu tuishimo na vitu vyote vilivyomo umetawaliwa na binadamu. Hata hivyo kutokana na tofauti kubwa ya binadamu kuna ambao wameitawala "nature" lakini wengine bado hiyo "asili" imewatawala. Hiyo ni kwa sababu ya uwezo tofauti wa kiakili ambao wanadamu wanaonyesha. Kulingana na sayansi na historia, binadamu wa leo ni matokeo ya evolution ya muda mrefu iliyotokea miaka milioni 3 iliyopita.
Utofauti wa wanadamu kubadilika kutoka kuwa weusi kisura na kuwa weupe ulianza baada ya uhamaji wa awali kutoka Afrika miaka 400,000 iliyopita na wa pili kati ya miaka 100,000 - 60,000, kipindi ambacho binadamu weusi walihamia Mabara mengine kupitia eneo la Mlango Bahari wa Bab al Mandab nchini Djibouti lililokuwa limeungana na Arabia. Hiyo ni kwa kuwa nje ya Afrika, eneo kubwa lina baridi.
Mabadiliko ya kiakili yalitokea baadaye hasa miaka ya 10000 BC baada ya vizazi na vizazi kuishi katika maeneo hayo ya nje ya Afrika hasa Fertile Crescent (Levant) na kwenye mito mikubwa ya eneo hilo ipitayo majangwani, kama Bonde la Mto Naili (Egypt) na Euphrates na Tigris (Iraq), yakiwa na sifa kuu zifuatazo:
  • Uwepo wa maji ya kutosha kutokana na mito mikubwa.
  • Uwepo wa udongo wenye rutuba (alluvial) na rahisi kulimika (kwa miti) kwenye kingo za mito.
  • Uwepo wa vyanzo vya kutosha vya samaki hasa mito na maziwa.
  • Uwepo wa joto la kadri kukuza mazao.
  • Uwepo wa mazao yanayositawi kwa urahisi, hasa ngano.
  • Kutokuwepo kwa misitu minene na hivyo kuwa rahisi kuanzisha makazi na mashamba.
  • Kutokuwepo kwa magonjwa ya kitropiki, hasa malaria, yellow fever na sleeping sickness.
  • Kutokuwepo kwa jua linalochoma (scorching sun), lililowezesha kutunza energy zao.
  • Kutokuwepo kwa baridi kali kama iliyoko nchi za Kaskazini mwa dunia.
Sababu hizo ndizo zilisababisha jamii zilizoishi maeneo yenye Hali hizo kuanza Neolithic Revolution kati ya miaka ya 10,000 bc - 8,000 bc ambapo binadamu alianza kupanda mbegu kwa kusia ngano mashambani (maeneo laini yaliyotifuliwa kwa miti) na kuanza kufuga wanyama wakiwemo ng'ombe na mbuzi. Aidha, kutokana na wanadamu hao kufanikiwa kuzalisha chakula kwa wingi kulipelekea kuibuka kwa Civilizations za kwanza kabisa duniani katika eneo la Mesopotamia (Sumerian na Babylonia), Misri na China kuanzia miaka ya 4000 BC, kutokana na maeneo hayo kuwa na sifa hizo hasa maji ya kutosha licha ya kuwa majangwani.
Jamii hizo za Mashariki ya Kati zilianza matumizi ya zana za chuma mapema kabisa ambapo ilipita miaka mingi kabla ya teknolojia hiyo kuletwa kwetu Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kupitia Dola ya Meroe (Sudan) kutokea Misri kwenye miaka ya 400 BC. Kwa hiyo Wabantu waliohama kutoka Cameroon mwaka 1500 BC walikuwa hawajaanza kumiliki teknolojia ya chuma ila walikutana nayo njiani kupitia kwa Nilotes wanaoishi Ukanda wa Sudan (Savannah).

Hata hivyo, kwetu Afrika, kutokana na uwepo wa mvua nyingi, chakula kilikuwa kikipatikana kwa wingi na kwa urahisi na hivyo kufanya akili za binadamu wa Afrika kutojishughulisha sana kama wenzao wa nje ya Afrika ambao walikuwa katika mazingira magumu ya majangwa na baridi kali. Waafrika waliendelea kupata chakula chao kupitia uwindaji wa wanyama, kuokota matunda ya mwituni na kula mizizi. Hivyo mababu zetu hawakuchanganya akili sana kama wenzao kutokana na kutokuwa na uelewa juu ya kilimo na ufugaji. Hivyo kwa yule Mwafrika aliyekuwa na akili sana bado hakuwa na tofauti kubwa na asiye na akili kwa kuwa wote hawakujishughulisha sana na utafutaji wa chakula kama wale waliohama kutokana Afrika. Kwa wanadamu waliohama Afrika ambao walikuwa dhaifu hawakuweza kustahimili mazingira magumu na hivyo vizazi vyao vilifutika duniani na kuacha waliokuwa na nasaba bora wakistahimili mazingira hayo magumu (Refer the Theory of Survival for the Fittest).
Binadamu hao waliotoka Afrika kutokana na kuchangisha sana akili zao waligundua ufugaji wa wanyama hasa mbwa, ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku na bata, miaka kati ya 13000 - 6000 BC. Vilevile, waligundua namna ya upandaji wa mbegu kwenye mashamba yaliyotifuliwa kwa kutumia miti (kipindi kabla hawajagundua kuyeyusha metali "metallurgy") kwenye udongo laini wa mabonde ya mito. Na hawa ndio waliogundua chuma baadaye kwenye 2000 BC na hivyo kuweza kuzalisha chakula kingi zaidi na kuimarisha ulinzi dhidi ya wanyama wa mwituni na jamii nyingine maadui. Uwezo wa chakula cha ziada, ulipelekea kukua kwa shughuli za huduma na maspecialists, kama waashi, wahunzi, askari wa kudumu, viongozi wa dini, na wengine wengi. Nadhani mtakumbuka ujenzi wa Mnara wa Babeli, ambao ni matokeo ya uzalishaji mkubwa chakula cha kulisha watu wengi wasiolima na hivyo walitaka kung'ang'ania eneo moja ili wasitawanyike (vyanzo vya dini ndo vinavyoripoti).
Mambo haya hayakuwezekana kamwe kwenye jamii za kiafrika kipindi hicho kutokana na kutozalisha chakula cha ziada, hivyo kila mtu alipaswa kujua karibia kazi zote (Mpaka sasa sisi Waafrika specialization bado iko nyuma kwani hata mwanachuo analazimishwa kusoma vitu vingi mno).

Teknolojia ya ufuaji wa chuma na utengenezaji wa zana za chuma ilipelekea kuongezeka kwa watu wengi Afrika Kusini mwa Jabgwa la Sahara lakini ilikuja kwa kuchelewa kutokea Mashariki ya Kati, tofauti na mabara mengine ya Old Lands (Asia na Europe).
Ili muone faida ya mapinduzi ya zana za chuma, Wabantu walitokea Cameroon kwenye miaka ya 1500 BC bila teknolojia ya chuma hadi baada ya miaka ya 400 BC. Ndiyo maana walianza kusambaa kwa wingi na kuweza kuvamia na kuzishinda jamii nyingine zote za Kusini na Mashariki ya Afrika za San na Pygmy (na hata Cushites - Mbulu, Gorowa na Mbugu) ambao ndio wakazi wa asili wa eneo hilo na ambao hawakuwa na teknolojia ya chuma. Hata hivyo, Wabantu walishindwa tu kwa Nilotes pekee (waliotokea Sudan) mfano Wajaluo kwa Tanzania.
Nawasilisha hoja.

IMG_6343.jpg
 
Kwenye documents inaonyesha ukoo mmoja wa wahaya walivumbua uhunzi wa vyuma about 16 century labda ndo utani na wajaluo waliweza kupigana kwa mikuki ya kujitengenezea.
 
Kwenye documents inaonyesha ukoo mmoja wa wahaya walivumbua uhunzi wa vyuma about 16 century labda ndo utani na wajaluo waliweza kupigana kwa mikuki ya kujitengenezea.
Unasema kweli, niliwahi kuisoma taarifa hiyo.
Lakini suala la muhimu ni kuwa, ugunduzi huo ulikuja kwa kuchelewa sana kulinganisha na binadamu wengine wasio waafrika japokuwa kwetu sisi Wabantu, ilikuwa ni mafanikio makubwa sana kwa eneo lote la Afrika Mashariki na Kusini. Hata ufugaji kwetu Kusini mwa Jangwa la Sahara uliingizwa miaka kwenye miaka ya 1000 BC wanyama hao wamekuwa wakifugwa Kaskazini mwa Sahara tangu miaka ya 7,000 BC.
Hata hivyo, hata hapa Afrika, ukiacha Hamites na Semites wa Kaskazini mwa Afrika, Wanigeria ndio walianza kugundua teknolojia hiyo katika Karne ya tatu (about 200 AD), nadhani utakumbuka Nok Culture. Matumizi hayo ya chuma yamewafanya wanigeria, by far kuwa, the brightest and most populous nation in Africa. Hii ni kwa kuwa teknolojia ya chuma iliongeza sana uzalishaji wa chakula licha ya kwamba pia ina hali nzuri ya hewa kwa eneo kubwa kuzidi nchi zote za Afrika, ukitoa DRC.
 
Unasema kweli, niliwahi kuisoma taarifa hiyo.
Lakini suala la muhimu ni kuwa, ugunduzi huo ulikuja kwa kuchelewa sana kulinganisha na binadamu wengine wasio waafrika japokuwa kwetu sisi Wabantu, ilikuwa ni mafanikio makubwa sana kwa eneo lote la Afrika Mashariki na Kusini. Hata ufugaji kwetu Kusini mwa Jangwa la Sahara uliingizwa miaka kwenye miaka ya 1000 BC wanyama hao wamekuwa wakifugwa Kaskazini mwa Sahara tangu miaka ya 7,000 BC.
Hata hivyo, hata hapa Afrika, ukiacha Hamites na Semites wa Kaskazini mwa Afrika, Wanigeria ndio walianza kugundua teknolojia hiyo katika Karne ya tatu (about 200 AD), nadhani utakumbuka Nok Culture. Matumizi hayo ya chuma yamewafanya wanigeria, by far kuwa, the brightest and most populous nation in Africa. Hii ni kwa kuwa teknolojia ya chuma iliongeza sana uzalishaji wa chakula licha ya kwamba pia ina hali nzuri ya hewa kwa eneo kubwa kuzidi nchi zote za Afrika, ukitoa DRC.
Unajua sisi kilichotupumbaza ni kuwa na vyakula, mila zilichangia, vita vya koo na makabila hivyo watu hawakupata muda kuwa wagunduzi au kufikiria wanawezaje kubadili hali mfano miundo mbinu kwa ujumla nadhani ile communal gathering tuliikumbatia mno mpaka sasa bado watu wanayo vichwani.
 
Unajua sisi kilichotupumbaza ni kuwa na vyakula, mila zilichangia, vita vya koo na makabila hivyo watu hawakupata muda kuwa wagunduzi au kufikiria wanawezaje kubadili hali mfano miundo mbinu kwa ujumla nadhani ile communal gathering tuliikumbatia mno mpaka sasa bado watu wanayo vichwani.
Yes uko sawa kabisa. Ila ninachotaka kukwambia ambacho watu huwa hawakielewi ni kuwa, kwa kawaida jamii haiwezi ikakumbatia mila ama utamaduni fulani yenyewe tu bali mila hizo zinatokana na "level ya maendeleo ya uzalishaji mali katika jamii hiyo husika." Hivyo sisi Waafrika tunaendelea kukumbatia egalitarianism kutokana na umasikini wetu na elimu duni.
Mfano kumekuwepo dhana isiyo sawa kuwa, watu wa Pwani hawafanyi vizuri kielimu kutokana na kuendekeza mila "potofu." Ukweli ni kuwa, tabia zinazoonyeshwa na watu hao kwa kutopenda elimu, inatokana na level of development ya jamii hizo kwenye eneo la utambuzi (cognition).
Ndiyo maana unaweza kukuta jamii fulani ina maendeleo makubwa ya kiuchumi lakini wako weak sana kielimu. Mfano: nchi za kiarabu na Afrika zenye utajiri wa mafuta, zina kipato kikubwa sana kiasi cha baadhi kuzidi nchi za Ulaya kwenye kipato. Hata hivyo, ukienda kwenye eneo la elimu hasa teknolojia utashangaa wanaonyesha sifa zote za nchi masikini.
Ndiyo maana watalaam wanakwambia, nchi tajiri ni zile zenye watu wenye akili na siyo kuwa na rasilimali lukuki lakini mnategemea teknolojia kutoka nje. Angalia nchi za Mashariki ya Mbali (Korea, Taiwan, Japan, Philippines, Thailand, Malaysia na Singapore.
 
Kibaiolojia, inaelezwa kuwa, kinachofanya mmea kukua ni sawasawa na kinachofanya mwanadamu pia kukua.
Mimea yote inahitaji mahitaji muhimu yafuatayo ili kukua na kustawi:
  • Madini kwenye udongo. Udongo wenye virutubisho vingi unazalisha mmea wenye afya nzuri.
  • Maji.
  • Hewa (carbon dioxide, hydrogen na oxygen).
  • Mwanga wa jua.
  • Joto stahiki kwenye udongo.
  • Hewa stahiki kwenye udongo.
Kiwango ambacho mmea unahitaji kwa kila vitu hivyo tajwa, itategemea na asili ya ya mmea husika.
Jinsi mimea inavyokua kutoka hatua ya uchavushaji hadi mavuno - "the growing cycle" inahusisha: Pollination - Seed formation - Seed dispersal - Germination - Continual growth (kupitia processes za photosynthesis, nutrient transfer na transpiration).
Ulishajiuliza kwa nini mmea wenye asili ya Ulaya mfano Pine hauwezi kukua nchi za Afrika ila mpaka kwenye maeneo yenye baridi? Huwezi kumkuza tembo katika nchi za Ulaya (labda kwa sasa baada ya kukua kwa teknolojia).
Hivyo hiyo kanuni nayo inawafuata wanadamu - Mzungu hata kama atazaliwa Afrika, bado ataendelea kuwa na sifa za kizungu zaidi kuliko za kiafrika kama ambavyo Mwafrika aliyezaliwa Ulaya ataendelea kudisplay tabia na akili za uafrika zaidi kuliko uzungu.
Kwa ujumla, Bara la Amerika ya Kaskazini na Ulaya yana idadi kubwa ya Waafrika wasomi kutokana Waafrika bright kukimbilia huko. Lakini watoto wanaowazaa huko, hawana tofauti kubwa kiakili na wale walioko Afrika kwa sababu wana nasaba za uafrika kuliko za uzungu.
 
La muhimu kukumbuka ni kuwa, mmea ukichukuliwa eneo lenye rutuba ukapelekwa kwingine, una nafasi kubwa ya kustawi kuliko ule uliotoka eneo lisilo na rutuba.
Ndiyo maana on average Black Americans wana akili kuliko average ya Waafrika walioko Afrika kwa kuwa, kihistoria inaelezwa asilimia 70% ya waliochukuliwa utumwani kwenda America, wanatoka katika Pwani ya Watumwa (Slave Coast) - Nigeria, Togo na Benini, maeneo yenye Hali nzuri ya hewa and hence have so bright people. Fikiria Waigbo (probably the brightest in Africa).
 
Mlishajiuliza ni kwa nini nchi za kiafrika zilizokuwa na/zenye wazungu wa Kiingereza (SA, Zimbabwe na Kenya) ziko mbele kimaisha kulinganisha na zile zenye wazungu wengi wa mataifa mengine, mfano Wareno (Angola na Msumbiji)?
 
Je mnafahamu kuwa, shule wanakosoma watoto wenye asili ya Kirundi waliopewa Uraia nchini zikiwemo huko Ulyankulu Wilayani Urambo na huko mkoani Katavi wana akili kuliko wenyeji wa maeneo hayo? Nani Alisha jiulize swali hilo? Fuatilia.
 
Hata sisi Waafrika, kuna wale wenye akili zaidi kulinganisha na wengine. Kwa ujumla, kibiolojia Semites ndio wa kwanza wakifuatia Hamites, kisha Nilotes halafu Bantu, Negro na mwisho Bushmen (San) na Pygmy (mbilikimo). Uwezo huo una tofautiana kutokana na "race" kutangulia kutumia zana za chuma.
Kihistoria, kizazi cha Mbilikimo waishio kwenye misitu ya Congo na Wabantu, kiliachana na wenzao waliohama Afrika miaka 70,000 iliyopita. Wabantu walitokea eneo la Cameroon miaka ya 1,000 BC kabla ya teknolojia ya chuma na walianza kutumia teknolojia ya chuma miaka ya 400 BC walipokutana na Hamites na Nilotes wa kutokea eneo la Sudan.
Lakini Pygmy na Bushmen wa Kusini mwa Afrika hawakutumia zana za chuma hadi baada ya 1,000 AD. baada ya kilt was huko na Wabantu.
 
These are the Intelligence Quotient (IQ) of the Black Peoples throughout the World:
  • World peoples average - 89.
  • Amerindians; Polynesians; Micronesians and Melanesians - 87.
  • US Blacks; British Blacks - 86.
  • Modern Aborigines (White Aborigin mix) - 85.
  • Arabs - 83.
  • South Asians - 81.
  • Caribbean Blacks - 72.
  • African Blacks - 71.
  • Papuans - 64.
  • Aborigines (Pure blood) - 62.
  • Bushmen - 50.
  • Pygmies - 50.
Source: Lindsay Robert "Blacks are Least Intelligence Race of All."
 
Eti miaka milion 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, nadhani unakumbuka shuleni tulisoma huyo kiumbe anaitwa Zinjanthropus, pamoja na wengine waliofuatia kama Homo Habilis na Sapiens.
Hapa kutakuwepo tu shida kwa watu wanaoamini vitabu vitakatifu kukubaliana na hili lakini wataalamu wa archeology, pamoja na biology wanajua kuwa, sisi zamani hatukuwakama tulivyo bali tulipitia stages za mabadiliko ambayo kwa akili ya kawaida huwezi kuyaona lakini yanaendelea hadi sasa. Leo hii wanadamu wana mvuto yaani handsome na beautiful tofauti na zama za nyuma.
 
Mbona Luanda Angola ndio mji wenye Gharama kubwa za maisha kuliko yote duniani????.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaangalia mjini tu na siyo hadi vijijini, na hilo ndilo tatizo kubwa la nini maana ya maendeleo? Maendeleo bora na sustainable ni yale yanayogusa jamii nzima. Lakini ukienda Angola watu wa vijijini ni masikini licha ya Angola kuwa na Wareno wengi kabisa barani Afrika kipindi inapata uhuru 1976.
Halafu uzuri wa Luanda haujatokana na mchango wa Wazungu wa kireno kwani umechangamka miaka ya Hivi karibuni tu baada ya hao jamaa kuanza kuuuza mafuta. Hivyo utajiri wa Angola uko Luanda pekee. Hakuna tofauti na Tanzania, ambayo jiji la Dar es Salaam limekuwa likikua kwa kasi ambayo mtu anashangaa mbona kuna umasikini mkubwa vijijini.
Hivyo kamwe huwezi kulinganisha Luanda na Harare ya Wazungu kabla hawajafurumshwa na Mgabe miaka ya 2000s. Kipindi hicho baada ya Jo-burg na Cape Town (labda na Pretoria), hakuna jiji la kiafrika lililokuwa limekamilika kama Harare, hata Nairobi ilikuwa cha mtoto.
 
Unajua sisi kilichotupumbaza ni kuwa na vyakula, mila zilichangia, vita vya koo na makabila hivyo watu hawakupata muda kuwa wagunduzi au kufikiria wanawezaje kubadili hali mfano miundo mbinu kwa ujumla nadhani ile communal gathering tuliikumbatia mno mpaka sasa bado watu wanayo vichwani.
Wasiwadanganye, vita huwa ina madhara makubwa sana kwa jamii isiyo na akili na teknolojia. We fikiria baada ya WW I, ukiacha matatizo ya kuanguka na kuweka rekodi sarafu yake ya Mark, Ujerumani iliibuka mwishoni mwa 1920 kuwa na ukuaji mkubwa wa kiuchumi kuliko nchi zilizoinyang'anya makoloni yake (Uingereza na Ufaransa). Pia kumbuka baada ya WW II, kulikuja Marshall Plan kwa nchi zote za Ulaya Magharibi lakini ilikuwa ni Ujerumani tena iliyotia fora kwa kurecover haraka na kuwa na "economic wonders" of 1950s.
Hapa Afrika mnakumbuka kulikuwepo mauajiya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994, sasa angalia Rwanda iko wapi kiuchumi? Thubutu vita kutokea Tanzania, maeneo yasiyo na uwezo wa kustawisha mazao ya kudumu kama kahawa, ndizi, na chai, ndiyo yataathirika sana. Si mnakumbuka Vita ya Maji maji mwaka 1905 - 07? Ndiyo iliyoleta umasikini kwa Kiwango kikubwa mikoa ya kusini.
Kwa hiyo vita haijawahi kuathiri ukuaji akili za waafrika, kwa mfano katika Tanzania, hakuna makabila/koo zilizokuwa zikipigana kama Wachagga lakini ndio wamekuwa the considered among the brightest in the whole of Africa. Wanyarwanda na Wachagga wote wanastawisha Mazao ya kudumu kama kahawa na migomba.
 
Back
Top Bottom