Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Kamishina Msaidizi wa Jeshi la Polisi, Kaster Ngonyani amesema mtuhumiwa amekutwa na koki hizo nyumbani kwake ambapo jeshi hilo limemshikilia na hatua kali zitachukiliwa dhidi yake.
Naye, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MUWASA - Mpanda amesema mamlaka imekuwa ikipata hasara kwa baadhi ya koki kuibiwa mara baada ya kufungwa kwenye bomba za watumiaji.