Sasa kama kwenye viwanja vya mpira hakuna vyoo watafanyaje mkuu Bujibuji?No professionalism kwenye soka la bongo. Ndo maana waganga na wachawi wanapewa nafasi kubwa ya kiushauri kuliko hata wataalam wenyewe wa soka.
Soka letu kwa mfumo huu halitaendelea ng'oooo
Kwa footballers ni kawaida.
Kwa footballers ni kawaida.
Hapo kuna kazi
Japokuwa vyoo vinaweza visiwepo lakini siamini sana hivyo, sanasana ni tabia na makuzi, Aibu ni dalili ya mtu mwenye kujitambua kwa undani zaidi, hawa hawana aibu! Na hawaoni aibu?
Aisee! Hawa hawajafundwa kwamba wao ni role models na kuna wengi wanapenda kuwa kama wao.wanawaangalia ktk matendo na mengineyo. Je, ni hayo ndio wanawapa admirers wao?
ni sangoma ndo alimwambia afanye hivyo!!!!!
Role modeling ianzie kwenye ujenzi wa vyoo. Tuache akili za kiumwakyembe, sehemu za kujisaidia zijengwe kabla ya kuwalaumu watu wasijisaidie hovyo