Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,505
Hawa watu niliwakataa
1. Haji Manara (huyu hana akili ila alituona sisi Yanga ndo hatuna akili. Simba wakamfukuza) sisi tukaona tumeokota Dodo.
2. Bernard Morrison (huyu alitudhalilisha sana...tulihangaika TFF, CAF na CAS. alikuwa anatuonesha dharau sana) ameachwa Simba tumemkimbilia ameanza kuonesha dharau zake kwetu. Jamaa sijui mchawi? Mpaka leo hajarudi kambini anakula tu gambe na mademu huko kwao.
Sisi Yanga jana tumemsajili tena Metacha Mnata huyu alituambia tuna f*rwa ashakum si matusi. Alituoneshea dole la katikati. Leo tena ni mchezaji wetu. Haya ni matusi kwetu. Huu Ujinga huwezi ukuta kwa Hawa machizi wa Msimbazi. Wao wana namna yao ya kuendesha team. Hukuti wakirudia matapishi au makosa yao.
Msikilizeni Msemaji wetu. Leo kaongea kwa utulivu mzuri bila maneno ya kichimba chumvi.
1. Haji Manara (huyu hana akili ila alituona sisi Yanga ndo hatuna akili. Simba wakamfukuza) sisi tukaona tumeokota Dodo.
2. Bernard Morrison (huyu alitudhalilisha sana...tulihangaika TFF, CAF na CAS. alikuwa anatuonesha dharau sana) ameachwa Simba tumemkimbilia ameanza kuonesha dharau zake kwetu. Jamaa sijui mchawi? Mpaka leo hajarudi kambini anakula tu gambe na mademu huko kwao.
Sisi Yanga jana tumemsajili tena Metacha Mnata huyu alituambia tuna f*rwa ashakum si matusi. Alituoneshea dole la katikati. Leo tena ni mchezaji wetu. Haya ni matusi kwetu. Huu Ujinga huwezi ukuta kwa Hawa machizi wa Msimbazi. Wao wana namna yao ya kuendesha team. Hukuti wakirudia matapishi au makosa yao.
Msikilizeni Msemaji wetu. Leo kaongea kwa utulivu mzuri bila maneno ya kichimba chumvi.