..ash wednesday: ALL THE BEST wanaCC NA wanaJAMVI wote..

..ash wednesday: ALL THE BEST wanaCC NA wanaJAMVI wote..

SI unit

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
1,953
Reaction score
767
Kwa namna ya pekee nawatakia wanaCC na wanaJAMVI wote mfungo mwema wa kwaresma. Tukumbuke sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi, tumrudie Mungu kwa kufanya ibada na toba ya kweli. Tusisahau kwenda kanisani kuuanza mfungo vema.
MFUNGO MWEMA!
 
teh teh teh teh ahsante sana mkuu kwa taaarifa tu, charminglady, Smile, measkron, Preta, Paloma, marejesho, King'asti, na wadada wooooooooote wa chit chat bila kuwasahau ma-aunt wa chit chat Mamndenyi, Kongosho et al NATANGAZA HIVI HAKUNA OFFER YA LUNCH LEO NA MPAKA KWARESMA IISHE, KUMBUKENI KUFUNGA WOTE.

cc; Nicas Mtei,
Erickb52, Bishanga, Mtambuzi, Filipo, Arushaone, Mr Rocky NA WENGINE WOOOTE MFUNGE PIA


DAHA ANGALAU MPUNGUZE NA VITAMBI SASA!!!!

BTW, KWARESMA NJEMA NA HAKA KAWIMBO KAWAKUMBUSHE Mateso Yake Bwana Yesu - YouTube

 
Last edited by a moderator:
Hapa duniani tunapita tujitahidi kuweza kuutiisha mwili kutokuabudu raha za hapa.
Tupeane moyo.
 
teh teh teh teh ahsante sana mkuu kwa taaarifa tu, charminglady, Smile, measkron, Preta, Paloma, marejesho, King'asti, na wadada wooooooooote wa chit chat bila kuwasahau ma-aunt wa chit chat Mamndenyi, Kongosho et al NATANGAZA HIVI HAKUNA OFFER YA LUNCH LEO NA MPAKA KWARESMA IISHE, KUMBUKENI KUFUNGA WOTE.

cc; Nicas Mtei,
Erickb52, Bishanga, Mtambuzi, Filipo, Arushaone, Mr Rocky NA WENGINE WOOOTE MFUNGE PIA


DAHA ANGALAU MPUNGUZE NA VITAMBI SASA!!!!

BTW, KWARESMA NJEMA NA HAKA KAWIMBO KAWAKUMBUSHE Mateso Yake Bwana Yesu - YouTube



Hahahahaaaa hadi kitimoto hakuna?
 
Last edited by a moderator:
Smiling Saint
hebu niongoze sala ya toba manake najiona kana kwamba
siko safi.

usihofu mama yangu ni nini kitakachotutenga na Upendo wa Kristo? Warumi 8:32-39

na basi waweza sali sala hii hapa kwa imani [sio ki-chitchat]

Bwana Yesu, ninakuja kwako leo hii, maana nimeteambua maisha bila ya wewe ni bure na ni mabaya sana. naomba unisamehe sana dhambi zangu, na uovu wote niliokutenda, nawasamehe na wote walionikosea, nakuomba ufute jina langu kwenye kitabu cha hukumu uliandike kwenye kitabu cha uzima, uniponye na uniweke huru kutoka vifungo na mateso yote yaliyoniandama kwa kuishi dhambini, EE Yesu unisaidie na unisikie. ahsante kwa Neema yako ya wokovu

Ahsante Yesu, Sifa kwa Yesu
 
Back
Top Bottom