wapendwa wana jf, natumai mnaendelea vyema na poleni na majukumu. Napenda kuwashukuru wana jf wote waliyo niunga mkono ktk biashara yangu ya mayai ya kuku wa kienyeji, Nimefarijika sana na nawakaribisha wote, mayai yapo mengi tuu na pia wale wahitaji wa modem na simu zipo. Karibuni sana