Asanteni sana Kigoma-Dr Slaa.

Asanteni sana Kigoma-Dr Slaa.

Mimi nasema kuanzia sasa ccm inabidi waanza kufungasha vilago! Maana SIMBA WA TANZANIA ameshinda mtihani wa mwisho tu,hamna majaribu mengine tena! Sasa tunajiandaa kwenda Ikulu! Asante sana pia Dr. Wakusomea sio kupewa!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Dr.slaa ni mwiba wa kuotea mbali kwa maccm..tunamsubiri kwa hamu kubwa sana hapa kwetu!
 
Simba wa Tanzania Dr.Slaa hongera.

Kuna vichaa wengine hapahapa kwenye JF walikuwa wakishabikia na kubeza ziara ya Dr.Slaa kuwa haitakuwa na mafanikio na wakatishia kuwa ziara hiyo ingelisababisha vurugu na machafuko huko Kigoma na wakashauri Doctor asikanyage Chigoma!

Leo wako wapi na wanasema nini bada ya ziara yenye mafanikio makubwa??? Kuna Gazeti liliandika na kunadi kwa kichwa cha habari," Ngome ya Zitto Kabwe yatikiswa!".

Nina hakika hizi ni salamu tosha kwa Magamba wote na wale wenye kuichukia CHADEMA.

Hongera sana Dr.Slaa kwa kazi nzuri ya kuimarisha chama.
 
DR.slaa ni zawadi ya tatu toka kwa mwenyezi mungu kama kiongozi, wa kwanza Hayati Nyerere, wa pili Hayati Sokoine na wa tatu ni DR.slaa W.P. hili halina ubishi, huyu ataingia kwenye list ya kina Mandela baada ya kukamilisha kazi yake ya utumishi uliotukuka kwa watazania.
 
anaweza kupora wake za watu, kuvunja ndoa za majirani (mf ya mahimbo), kuendesha chama kikoloni na kupika majungu

Hivi yule mwegu aliyefungua kesi kabla ya uchaguzi iliishia wapi? eti mke wake halafu eti DR SLAA amlipe fidia!! wakware kwa kutumika!
 
Hongera pia kwa jeshi la polisi kwa kuhakikisha usalama unaimarika, bila polisi wa kutosha mikutano isingefanyika
 
nakumbuka miaka ile ya mwinyi baada ya tishio tu pale UDSM hakuwahi kukanyaga hadi leo. mwoga mwingine ni Jk, kama kuna watu wanajua amewahi kwenda UDSM mara ngapi waseme, mimi nakumbuka mara mbili tu kwa kipindi cha miaka 8. yaani marekani ameenda mara nyingi sana kuliko hata baadhi ya mikoa ya Tanzania achilia mbali UDSM

kwa ukomavu wa Dr Slaa, anastahili jina la Simba wa Tanzania, Hongera DR.

Ulitaka aende akafanye nini? unafikiri huwa anajiendea tu kama unavyojiedea wewe hovyo hovyo?
 
Ndugu Molemo, Japokuwa mimi iyo mshabiki wa siasa za Dr Slaa, na si tumaini yangu kuwa atapata fursa ya kuongoza nchi yetu, Lakini inanibidii nikupe pongezi kubwa sana, kwa jitihada zako za kuwafumba macho watanzania na matokeo ya ukweli yaliyotokea katika ziara za slaa huko kigoma.

ukweli tunaujua na matokeo ya ziara yake haikufanikishwa kama mlivyoipanga, katika kila jambo kuna 2 sides of the coin, hapa, what was almost successful ni namna ulivyoweza kujaribu kufanya damage control kwa kutumia concoted reports katika mitandao, na kuwajengea morals viongozi wako. Kijana you have potential ya kuwa a very good PR Person, uendapo utaweza kuutumia ujuzi wako in a very productive manner and achieve better future.

You should be able to make politicians, but dont allow them to run, you have created your position , just commercialize it without any affiliations, you can always vote for your favoured man and party, but you should be able to make your living everywhere.
 
Mzee huyo si anajulikana kwa uongo? kwanini asiwashukuru Polisi waliohakikisha wanamlinda na mvua ya mawe?
 
Dr Mungu akupe nguvu zaidi na zaidi
Kila la heri Dr wetu
 
Ha ha waliolipwa na Zitto, na CCM wamekoma, hivi magazeti ya Habari nani anasoma toilet paper hizo, hebu angalia kufungiwa kwao kumepunguza nini sokoni? wala hatujaya miss, ndio maana Kafulila anashinda pale kwa Bashe na mnafiki Kibanda leo hii naye anampamba Zitto, Kibanda unalamba matapishi yako?
 
Ndugu Molemo, Japokuwa mimi iyo mshabiki wa siasa za Dr Slaa, na si tumaini yangu kuwa atapata fursa ya kuongoza nchi yetu, Lakini inanibidii nikupe pongezi kubwa sana, kwa jitihada zako za kuwafumba macho watanzania na matokeo ya ukweli yaliyotokea katika ziara za slaa huko kigoma.

ukweli tunaujua na matokeo ya ziara yake haikufanikishwa kama mlivyoipanga, katika kila jambo kuna 2 sides of the coin, hapa, what was almost successful ni namna ulivyoweza kujaribu kufanya damage control kwa kutumia concoted reports katika mitandao, na kuwajengea morals viongozi wako. Kijana you have potential ya kuwa a very good PR Person, uendapo utaweza kuutumia ujuzi wako in a very productive manner and achieve better future.

You should be able to make politicians, but dont allow them to run, you have created your position , just commercialize it without any affiliations, you can always vote for your favoured man and party, but you should be able to make your living everywhere.

Ha Ha Haaaaa!!
 
kwa wale wanaoweza kuonana na dr slaa.mwambieni yeye ni mpango wa Mungu,naomba apitie kitabu kiitwacho A man of the people.he is a man of the people.

Salaam zimefika Kamanda!
 
katibu mkuu wa chadema dk. wilbroad slaa amehitimisha ziara yake kigoma kwa ushindi mkubwa pamoja na kwamba kulikuwa na changamoto nyingi kumzuia kufanikisha mpango huo wa kukijenga chama kutokana na njama chafu za ccm.Akizungumza kwenye kikao cha baraza la chama mkoani huko amewashukuru wanakigoma kwa ushirikiano mkubwa waliompa katika ziara yake hiyo pamoja na kwamba kulikuwa na njama chafu za ccm kuwahadaa wananchi lkn ameshukuru wananchi kuwapuuza wananchi hao.
Sasa ndugu zangu nashukuruni nyote naomba kazi ya kukijenga chama muiendeleze ili 2015 tuwakabidhi watanzania nchi yao maana nchi ilivyo sasa kama sisi watanzania tumekodi kuishi hatuna matumaini na serikali hii mbovu ya ccm, alisema dk. slaa katika baraza la chama mkoani huko.
Akiongeza kuwa sasa anakwenda mkoani singida kukijenga chama na anawaomba watanzania na wanachama wanaokitakia mema chama na nchi yao kumuombea mungu afanikishe kwa amani, alimalizia.
pipoooooz, ccm hamkubali tuu????
 
Back
Top Bottom