Asanteni sana Kigoma-Dr Slaa.

Asante sana Dr Slaa, rais wa mioyoni mwetu.

Endelea kutufundisha siasa za ukweli kwa lengo la kuikomboa nchi yetu.

Mungu azidi kukutia nguvu

rais wa familia yako sio wa nchi hii niijuayo mimi
 
..

....Kamanda Molemo ukimwona Sixgate huko msalimie!!!

Sixgates hajulikani yuko anga gani sasa baada ya walevi wa Chang'aa na gongo kushindwa kumiza malengo yake.

Hana issue aendelee kumtumikia Mwegulu wake labda atapata kula kidogo.
 
sijawahi kuona siku hata moja slaa akifanya siasa za maana zaidi ya majungu na kulaghai watu.
 
Back
Top Bottom