Asanteni sana Kigoma-Dr Slaa.

Asanteni sana Kigoma-Dr Slaa.

katibu mkuu wa chadema dk. wilbroad slaa amehitimisha ziara yake kigoma kwa ushindi mkubwa pamoja na kwamba kulikuwa na changamoto nyingi kumzuia kufanikisha mpango huo wa kukijenga chama kutokana na njama chafu za ccm.Akizungumza kwenye kikao cha baraza la chama mkoani huko amewashukuru wanakigoma kwa ushirikiano mkubwa waliompa katika ziara yake hiyo pamoja na kwamba kulikuwa na njama chafu za ccm kuwahadaa wananchi lkn ameshukuru wananchi kuwapuuza wananchi hao.
Sasa ndugu zangu nashukuruni nyote naomba kazi ya kukijenga chama muiendeleze ili 2015 tuwakabidhi watanzania nchi yao maana nchi ilivyo sasa kama sisi watanzania tumekodi kuishi hatuna matumaini na serikali hii mbovu ya ccm, alisema dk. slaa katika baraza la chama mkoani huko.
Akiongeza kuwa sasa anakwenda mkoani singida kukijenga chama na anawaomba watanzania na wanachama wanaokitakia mema chama na nchi yao kumuombea mungu afanikishe kwa amani, alimalizia.
pipoooooz, ccm hamkubali tuu????

Umoja Ndio fahari yetu, Undugu ndio Nguvu, Chuki na Ukabila hatuvitaki hata kamwe, Lazima tuungane,Tuijenge Nchi yetu, Asiwe hata mmoja,Anayetenganisha,Tunaishi na Tumaini. Nategemea Daima Tanzania, Hekima yetu ni Siasa iliyo safi Daima mimi Mtanzania Mwananchi Mzalendo, Kwa huzuni na Mateso Chadema wameteswa, Hawakushtushwa na risasi hawakushtushwa na Mijeledi, Nia yao Ukombozi. Chadema Daima.
 
DR.slaa ni zawadi ya tatu toka kwa mwenyezi mungu kama kiongozi, wa kwanza Hayati Nyerere, wa pili Hayati Sokoine na wa tatu ni DR.slaa W.P. hili halina ubishi, huyu ataingia kwenye list ya kina Mandela baada ya kukamilisha kazi yake ya utumishi uliotukuka kwa watazania.

Maneno Mazito sana haya!
 
Dr. kwa hili wewe ni Prof. kwa mamalaka yangu binafsi nakutunuku uprof wa heshima. wewe ni 10 tanzanian professors together
 
Umoja Ndio fahari yetu, Undugu ndio Nguvu, Chuki na Ukabila hatuvitaki hata kamwe, Lazima tuungane,Tuijenge Nchi yetu, Asiwe hata mmoja,Anayetenganisha,Tunaishi na Tumaini. Nategemea Daima Tanzania, Hekima yetu ni Siasa iliyo safi Daima mimi Mtanzania Mwananchi Mzalendo, Kwa huzuni na Mateso Chadema wameteswa, Hawakushtushwa na risasi hawakushtushwa na Mijeledi, Nia yao Ukombozi. Chadema Daima.


Maneno mazito sana sana kaka .Yamejaa hekima , utu , heshima, Utanzania na ubinadamu .
 
katibu mkuu wa chadema dk. wilbroad slaa amehitimisha ziara yake kigoma kwa ushindi mkubwa pamoja na kwamba kulikuwa na changamoto nyingi kumzuia kufanikisha mpango huo wa kukijenga chama kutokana na njama chafu za ccm.?
Mimi binafsi sipendi kufanya kazi isiyo na changamoto kwani naamini changamoto inanijenga zaidi mimi binafsi pamoja na taasisi ninayoifanyika kazi.

Hongera DR. tunatangulia Singida utatukuta.
 
Ni kawaida kwa wapigania ukombozi kuwa na ujasiri kuzidi wale wanaoongozwa, ili uwe shujaa lazima uonekana kama shujaa na utende kishujaa, na ndicho DR.SLAA anachotenda leo, hawezi kuingia kwenye historia ya kundi la kina mandela na the likes, kama hawezi kuwa tofauti na wale anaowangoza ktk mapambano.Mandela alipewa offer ya kuachiwa huru kama angekubali kuacha harakati za ukombozi lakini alikataa akakubali kuwekwa gerezani. kwa upande wa DR.SLAA juzi kaambiwa kigoma hakuko shwari kwa sasa atauawa, alisema hawezi kubadili ratiba iliyopangwa na chadema Taifa yeye ni mtumwa wa chadema.
Hakika huyu anajiandaa kuingia kwenye kundi la wakombozi wa Afrika, kwani anaonekana kuwa.
 
Binafsi niwapongeze vijana wa RED BRIGEDE kwa kusimama imara na kumuhakikishia Dr slaa na giji wa siasa tza usalama
 
Hongera Dr slaa kwa ukomavu wa kisiasa hukujali vitisho vya magamba,wameishia kuandika propaganda kwenye magazeti.
 
Binafsi niwapongeze vijana wa RED BRIGEDE kwa kusimama imara na kumuhakikishia Dr slaa na giji wa siasa tza usalama

Walifanya kazi nzuri sana.

Kwa kweli hata pilisi wa Kigoma walifanya kazi nzuri.Dr Slaa alilindwa kama Rais alivyoingia Kigoma mjini.
 
Ni kawaida kwa wapigania ukombozi kuwa na ujasiri kuzidi wale wanaoongozwa, ili uwe shujaa lazima uonekana kama shujaa na utende kishujaa, na ndicho DR.SLAA anachotenda leo, hawezi kuingia kwenye historia ya kundi la kina mandela na the likes, kama hawezi kuwa tofauti na wale anaowangoza ktk mapambano.Mandela alipewa offer ya kuachiwa huru kama angekubali kuacha harakati za ukombozi lakini alikataa akakubali kuwekwa gerezani. kwa upande wa DR.SLAA juzi kaambiwa kigoma hakuko shwari kwa sasa atauawa, alisema hawezi kubadili ratiba iliyopangwa na chadema Taifa yeye ni mtumwa wa chadema.
Hakika huyu anajiandaa kuingia kwenye kundi la wakombozi wa Afrika, kwani anaonekana kuwa.

Hakika sikushangaa wanaKigoma walipomtangaza kwamba ni Simba wa Tanzania.
 
Umoja Ndio fahari yetu, Undugu ndio Nguvu, Chuki na Ukabila hatuvitaki hata kamwe, Lazima tuungane,Tuijenge Nchi yetu, Asiwe hata mmoja,Anayetenganisha,Tunaishi na Tumaini. Nategemea Daima Tanzania, Hekima yetu ni Siasa iliyo safi Daima mimi Mtanzania Mwananchi Mzalendo, Kwa huzuni na Mateso Chadema wameteswa, Hawakushtushwa na risasi hawakushtushwa na Mijeledi, Nia yao Ukombozi. Chadema Daima.

Maneno mazito yenye kutia moyo sana!
 
Gwiji wa Siasa Tanzania na Katibu Mkuu CHADEMA Dr Wilbroad Slaa amefurahishwa na ukarimu wa watu wa Kigoma tangia aanze ziara ya kichama mkoani humo.

Akizungumza katika Baraza la Uongozi la Mkoa wa Kigoma kiongozi huyo wa kisiasa nchini alisema watu wa Kigoma wameonyesha mshikamano mkubwa na kupambana na wahuni wote waliokuwa wameagizwa kuvuruga ziara yake.

Kauli hiyo ya Dr Slaa inafuatia wahuni na wavuta bangi kujaribu kuvuruga mikutano yake lakini nguvu ya UMMA ilidhibiti hujuma hizo.

Wiki iliyopita watu walionyweshwa gongo na wengine walevi wa bangi waliandamana Kigoma mjini kulaani ujio wa Dr Slaa na kujiapiza endapo kama kiongozi huyo angekanyaga Kigoma mjini wangemdhuru.

Hata hivyo Dr Slaa aliingia Kigoma mjini kwa Kishindo kikubwa na kulakiwa na msururu wa magari na Pikipiki huku umati ukijipanga kandokando ya barabara na kupeperusha majani ya miti.

Kutokana na ujasiri wa Dr Slaa kupuuza vitisho vya wahuni hao baadhi ya watu wa Kigoma wamempachika jina la SIMBA WA TANZANIA.
kila siku nawaambia ccm kwamba,hila zao wanazozifanya ndio zinaipaisha chadema hawanisikii,lakini kwa kuwa ccm ni sikio la kufa hawaelewi ninalowaambia, nawaambia tena kadri watakavyofanya kuingilia mgogoro wa zito na chadema ndivyo watakavyoipaisha chadema
 
Back
Top Bottom