Siku napata habari serikali imesema binti kuolewa mpaka awe na cheti cha kidato cha nne niliruka ruka kwa shangwe na ndelemo kwani bi tukinao alikuwa kaniganda sana mpaka wazazi wake ooh oa oa uwezi mchezea mtoto wetu mara hivi mara vile
Kishingo upande nikaanza kuishi naye hivyo hivyo tu ila kelele za ndoa lini hazikuisha nikawa natoa tarehe tu ila baada ya tamko la waziri kidume nikatuma washenga waende tangaza nia yangu ila nkawambia ombeni cheti cha kidato cha nne cha binti wakisema bnti hana cheti sitisheni mazungumzo
Kweli bwana kuomba cheti binti hana cheti ikabidi mazungumzo yaishie pale washenga wakasema hii serikali si ya mchezo hawataki miye nifungwe
Mpaka mda huu bi tukinao karudi kwao hana cheti sasa taishi naye viti wakati miye nataka kuoa
Haaaa haaa hongera sana serikali ya awamu ya tano
Kishingo upande nikaanza kuishi naye hivyo hivyo tu ila kelele za ndoa lini hazikuisha nikawa natoa tarehe tu ila baada ya tamko la waziri kidume nikatuma washenga waende tangaza nia yangu ila nkawambia ombeni cheti cha kidato cha nne cha binti wakisema bnti hana cheti sitisheni mazungumzo
Kweli bwana kuomba cheti binti hana cheti ikabidi mazungumzo yaishie pale washenga wakasema hii serikali si ya mchezo hawataki miye nifungwe
Mpaka mda huu bi tukinao karudi kwao hana cheti sasa taishi naye viti wakati miye nataka kuoa
Haaaa haaa hongera sana serikali ya awamu ya tano