UKAWA ni wabinafsi sana, ukitaka wakupende fanya kitu wanachotaka kukisikia/kukiona, ukitofautiana nao tu kosa. Sioni tofauti Kati ya alichofanya Shamsa na Diamond but reaction zimekuwa tofauti
Huyu naye amenunuliwa?
Hao wanaotukana na kuchukia Diamond eti kisa anamshabikia Magufuri ndio hawajielewi wala kujitambua kabisaaa!!na hawana uhakika na chaguo lao la upinzani.
Miaka 38 ndani ya CCM na nyadhifa kibao ameshika!na wiki nne ndani ya Chadema ndio zinamfanya mtu awe msafi na aonekane ana uchungu saaana na watanzania leo hii??
Unafiki ulinishinda kabisaa na niko Original!Siwezi kuchukia mtu eti kisa anampenda Magufuri wakati J.Pombe niCCM A na Ngoyai ni CCM B,unafiki tupu
Hao wanaotukana na kuchukia Diamond eti kisa anamshabikia Magufuri ndio hawajielewi wala kujitambua kabisaaa!!na hawana uhakika na chaguo lao la upinzani.
Miaka 38 ndani ya CCM na nyadhifa kibao ameshika!na wiki nne ndani ya Chadema ndio zinamfanya mtu awe msafi na aonekane ana uchungu saaana na watanzania leo hii??
Unafiki ulinishinda kabisaa na niko Original!Siwezi kuchukia mtu eti kisa anampenda Magufuri wakati J.Pombe niCCM A na Ngoyai ni CCM B,unafiki tupu