Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Mipango yangu mimi pamoja na Shamsa imeingiwa kidudu maji. Tulipanga kupeana ujauzito, kisha tumtunze mwanetu mpaka pale atakapofikisha umri wa kwenda shule ili tumnunulie kiufagio na kidumu cha lita 5 akaanze vidudu, aje kutusaidia baada ya miaka 20 ijayo
Baada ya kukutana na hawa mabinti wawili aged 12 years (approximately) wakikicharanga kimalkia, nimejikuta nashikwa na aibu kali sana. Akili inenituma nitafute hela kwanza hata kama nitazipata nikiwa na 50 yrs, ndipo nimbebeshe mwanamke ujauzito
Ni kosa kubwa sana kuleta kiumbe duniani eti kijipambanie. Yale mawazo ya kila mtoto huja na bahati yake yamepitwa na wakati. Wazazi wetu walifanya makosa, hivyo hatupaswi kurudia makosa
Baada ya kukutana na hawa mabinti wawili aged 12 years (approximately) wakikicharanga kimalkia, nimejikuta nashikwa na aibu kali sana. Akili inenituma nitafute hela kwanza hata kama nitazipata nikiwa na 50 yrs, ndipo nimbebeshe mwanamke ujauzito
Ni kosa kubwa sana kuleta kiumbe duniani eti kijipambanie. Yale mawazo ya kila mtoto huja na bahati yake yamepitwa na wakati. Wazazi wetu walifanya makosa, hivyo hatupaswi kurudia makosa