Asante sana Gambo Arusha tutakukumbuka !

Asante sana Gambo Arusha tutakukumbuka !

Samahani, nje ya maada.

Hivi soko la samaki kambale lipoje kwa hapa dar?

Nina tenki, nataka niyafuge atleast nipate hela ya kubadilisha mboga.

Mnisamehe kwa kuingilia maada.
Mkuu tank la ujazo gani, emb naomba nami nipe dondoo namna ya kufanya. Nina tank(Simtank) 2000ltrs halina kazi hapa.
Ukiwatiamo wanastawi bila shida?
 
Mkuu tank la ujazo gani, emb naomba nami nipe dondoo namna ya kufanya. Nina tank(Simtank) 2000ltrs halina kazi hapa.
Ukiwatiamo wanaatawi bila shida?
Nipe hilo tank nikupe hela, kambale anapenda tope huwezi kumfuga Kwa tank akastawi.
 
Back
Top Bottom