Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mungu si Athmani! Mungu ni mkubwa sana. Kila kitu kizuri kinawezekana kwake.
Nimekuwa mkereketwa sana wa pombe na mademu (Si wabaya si wazuri.Si wanene si wembamba.Si weupe si weusi) lakini sasa nimefanikiwa kuacha kabisa!
Hivyo vitu ni hatari sana kwa afya yetu sote.Tuvikane kabisa!
Mungu mkubwa sana.
Nimekuwa mkereketwa sana wa pombe na mademu (Si wabaya si wazuri.Si wanene si wembamba.Si weupe si weusi) lakini sasa nimefanikiwa kuacha kabisa!
Hivyo vitu ni hatari sana kwa afya yetu sote.Tuvikane kabisa!
Mungu mkubwa sana.