Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
- Thread starter
- #81
Unaweza pendekeza sheikh lakini tayar limeshachaguliwa na ntawaletea humu muda si mrefu sanaaaaSheikh naomba nkuchagulie jina mtoto akishazaliwa inshallah![]()
Unaweza pendekeza sheikh lakini tayar limeshachaguliwa na ntawaletea humu muda si mrefu sanaaaaSheikh naomba nkuchagulie jina mtoto akishazaliwa inshallah![]()
Unaweza pendekeza sheikh lakini tayar limeshachaguliwa na ntawaletea humu muda si mrefu sanaaaa
Sio kwamba hawapo,ila ni adimu sana,wengi wao ni majanga,wanawake wa siku hizi wamebadilika sana,ndoa zimekuwa ni mateso sana kwa wanaume ndio maana unaona wengi wamefikia kusema kuwa wanawake wa aina hiyo hawapo.Ukienda makanisani/misikitini utakuta wale waliojishikiza tu ili waonekane ni wanawake wema,ukishamuweka ndani ndio utamjua balaa lake...Trust me mkuu, bado wapo. "He who searches carefully never fails to find"
Hongera Jamaa
May God bless you
