Asante Mungu kwa kunipa mke huyu

Asante Mungu kwa kunipa mke huyu

Wake wa pili sehemu zote huwa wanajiona bora aisee loh
Tena wanajikutaga wana tashiti wao ndio wao..wao ndio wanapendwa..wao ndio wanajua kila kitu...hawajuagi tu bila ruhusu ya mkubwa wasingepata hiyo ndoa..wanachefua
 
Tena wanajikutaga wana tashiti wao ndio wao..wao ndio wanapendwa..wao ndio wanajua kila kitu...hawajuagi tu bila ruhusu ya mkubwa wasingepata hiyo ndoa..wanachefua
Wengi huwa wanageuka vivuruge wa familia aisee maugomvi ugomvi tu
 
Mwanamke wa dizaini hiyo hapa jf kumpata utakesha....

Hongera kwa kumpata mwanamke ambaye anakupenda , anaejielewa na mwenye hofu ya Allah .....

Mbarikiwe sana....
hhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahahhahahahhahahahhahahahahhahahahahahhahahahahhahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahhahahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hongera sana kwa neema uliojaaliwa. lakini usitumie lugha ya kejeli au kutukana wakwe zako - kumbuka wana haki kama mzazi yeyote kuhakikisha binti yao anapata mume wanae mfahamu na wanaona atamfaa binti yao - mwishoni yote ni mipango ya Mungu.
 
Hongera sana kwa neema uliojaaliwa. lakini usitumie lugha ya kejeli au kutukana wakwe zako - kumbuka wana haki kama mzazi yeyote kuhakikisha binti yao anapata mume wanae mfahamu na wanaona atamfaa binti yao - mwishoni yote ni mipango ya Mungu.
hapa nilichoona men bado wamo sana !mke yupo kwenye right track!..yaan men anadangwa bado!lol
 
Loh.. aisee kwa sasa usiongeze mke wa pili. Tula kwanza mana ..maana magugu maji hulu mjini yamejaa sana.
Juzi hapa nilimkata sound dada mmoja akaanza kuniambia , nifungulie biashara.. nipe laki mbili ndani ya saa moja.. uwezo ninao lakini nimemkimbia mzee ni balaa...

Tulia na wife man. Dont dissapoint her.
Aisee nabadilisha fikra, acha tu awe yeye kwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom