Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
- Thread starter
- #61
Thanks mkuu! Mola aniwekeeHongeea sana ndugu hakika umebahatika!!!
Thanks mkuu! Mola aniwekeeHongeea sana ndugu hakika umebahatika!!!
Thanks mdau, maombi yako muhimu dada yakeHongera sana
Hapana broo! hata TZ wapo, yeye mbona ni Mtanzania piaNingeshangaa kama angekuwa mTz original bado nasababu 1000 za kuoa nje
aamyn aamynInspiration kwa wanawake wengine
Hongera bro Mungu awe nanyi......
Aamin kaka! hakuna kubwa kwa muumba trust meM.mungu atujaalie na sisi tupate wake wema amiin.
Thanks machungwa, pray for us mkuuHongera sana ndg.
Thanks for encouragement mkuu! will tighten the beltThat's a wonderful brother. go with it
Maombi tu mkuu, hatujuani lakini bado tunapasa kutakiana kheri.Mmmh
Aamyn mkuu! Thanks much, this is what is important for now. Maombi tu wakuuMwenyezi Mungu awabariki Furaha ikawe ndio Nuru ya familia yenu
Mpende sana mkeo pamoja Na mwanao pia
Mungu ampigania ajifungue salama
Hakuwa mwanamke wangu wa kwanza mkuu, labda hujasoma vizuri tu. Ila thanks mno kwa ushauriSasa mkuu alikuwaje mwanamke wako wa kwanza kati ya uliowahi kuwa nao? Au sijui kiswahili?
Hata hivyo Mungu kakujalia mema jitahidi muishi kama mnavyoendelea kuishi. Mawimbi mengi makubwa bado yatawakumba hivyo mzidi kumtegemea yeye aliyewaumba.
Tukumbuke kwa dua mkuuMaa sha allah
Mbona huyu Mtanzania mkuu??? wapo bado tatizo wengi wetu tunakosea kwenye kuchagua yaani tunakosea vile vigezoWabongo bado tunaenda kuoa nje tu,haya magumegume ya tz tunapita tu
Aamyn yaa rabii! Allahumma taqabbal dua'aaMkuu hongera sana sana..huyo ndio mke wa dunian na akhera. Watu tunaomba usiku na mchana tupate mke bora ww tayar upo ktk hlo. Mungu amjaalie ukhty ajifungue salama na mtoto awe salama rabil-laala meen.
Thanks mkuu! nikumbuke kwenye maombi yako mkuuHongera.
She is one in million
Trust me mkuu, bado wapo. "He who searches carefully never fails to find"Kwa haya manamake yetu ya leo, sio rahisi kumpata kama huyo
Trust me mkuu, bado wapo. "He who searches carefully never fails to find"Kwa haya manamake yetu ya leo, sio rahisi kumpata kama huyo
Thanks sonia, maombi mkuuHongera zako sana
Thanks mkuu, I was so touched na ule uzi wako kuhusu yule jamaa yaani! Nakumbuka nlikuwa najiuliza why akufanyie vile?? Tuyaache nsikukumbushe machunguHongera sana mkuu. Namuombea wifi atoke salama kwenye chumba cha upasuaji.
Aamyn yaa rabii! Allahumma taqabbal dua'aa
