Asante Mpenzi! nakupenda sana

Asante Mpenzi! nakupenda sana

MankaM mimi ndio mritthi wa king mswati shemegi yangu Arushaone, afya mume inaboreshwa kuwa na wake wengi walio halali.....


Shemejiiii!!!
Aisee umerithi mikoba yangu kwa ruksa ya nani??

Mwaka mpya wenye mafanikio mkuu.
 
Last edited by a moderator:
kiwatengu mkuu hongera sana kwa kuweza kufikikisha malongo 2 katika ndoa yako mm mwenzako mwaka mmoja na nusu tuu mzeee kasepa si unajua tena alikuwa SACCOS?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa binamu wewe uliogopa ukasepa kimtindo wakati wanaingia mtaa wenu si niilikuona kwa mbali nikawa najichekea kumbe nanyi ni waoga Lol!
binamu kungwi, mimi na kiwatengu ndio viongozi wa panya road wacc sasa tuogope nini....?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom