Asante Magufuli, sasa umetukumbuka Rungwe, Mbeya

Asante Magufuli, sasa umetukumbuka Rungwe, Mbeya

Ni jukumu la serikal. Haina haja ya kumpongeza rais.. maana alipewa jukum hilo alipochaguliwa .hapo anatekeleza majukum
Kama akifeli kufanya hayo mnamponda, kwanini akifanikiwa asipongezwe?Au ni kosa la jinai kupongeza?
 
Ni Tanzania pekee wanaoona kuletewa huduma ni favor na sio wajibu wa serikali.

Ulishawahi ona TRA wanakubembeleza na kukushukuru wewe kulipa kodi?

Unamshukuru kwa kukujengea barabara wakati ni wajibu wake.
Kauli za nchi imemshinda huwa mnazitoa kwa misingi ipi?Kwanini akifanya vizur mnapata kigugumiz cha kupongeza?
 
Sugu kwisha habari yake

Kila akipewa hela ya mfuko wa jimbo anatafuna tu hela kwenye kihoteli chake uchwara, badala ya kuwaletea maendeleo wananchi
Hahaaaah usivyo na akili hujui hata sugu in mbunge wa wapi...kwa hiyo unataka fedha za mfuko wa jimbo la mbeya mjini zikajenge Barabara za jimbo la rungwe???kwa taarifa yako jimbo lala mbeya mjini lami kila kona
 
Shukuruni kwa kila jambo hata kama ni haki yako wangapi walishindwa kukupa hiyo haki yako ushindwe kumshukuru aliyeona una haki ya kupata hicho kitu, mi nadhani watu wamezingirwa na wivu tu
 
Hahaaaah usivyo na akili hujui hata sugu in mbunge wa wapi...kwa hiyo unataka fedha za mfuko wa jimbo la mbeya mjini zikajenge Barabara za jimbo la rungwe???kwa taarifa yako jimbo lala mbeya mjini lami kila kona
Mkuu sio Jimbo la Rungwe ni jimbo la Busokelo ambalo mara ya kwanza iliitwa Rungwe Mashariki!
 
Sugu kwisha habari yake

Kila akipewa hela ya mfuko wa jimbo anatafuna tu hela kwenye kihoteli chake uchwara, badala ya kuwaletea maendeleo wananchi
Umetisha sana. Anatafunaje kwa,mfano. Inamkuta wapi hiyo Pesa, Anasaini wapi!! Acha kufumbaza watu kwa kutumia uelewa wako wa kinafiki. Tupunguze Siasa kwenye mambo ya msingi.

Fedha ya mfuko wa Jimbo inaingizwa Halmashauri. Kamati husika inapitisha MIRADI inayotekelezwa, MKURUGENZI anaingiza fedha kwenye AC ya MRADI/kijiji husika nakusimamia utekelezaji wake, NAO mwishowe hukagua hesabu na MRADI husika.
 
miaka mitatu ndio unakutana na invitation bid
sio ujenzi
mshawasha ushakuingia upo tayari kutoa mzigo
umrahisi si wa kutongoza mara mbili..
pombe mwenyewe hajawahi kukanyaga Rungwe tangu asukumizwe na mkapa na libuva
 
Sugu kwisha habari yake

Kila akipewa hela ya mfuko wa jimbo anatafuna tu hela kwenye kihoteli chake uchwara, badala ya kuwaletea maendeleo wananchi
Usichokijua kiache kipite, Sugu hayuko Rungwe, Rungwe ni sawa na Dar na Moro hivyo hawezi kuchukua pesa ya Mbeya akaisafirisha kwenda Rungwe.
 
MIJITU ya lumumba ina shida sana,inaruka na kukanygana tu hapa!!!! yaani hoja muanzishe nyie halafu mchngie nyie!!
 
Sugu kwisha habari yake

Kila akipewa hela ya mfuko wa jimbo anatafuna tu hela kwenye kihoteli chake uchwara, badala ya kuwaletea maendeleo wananchi
ushabiki mwingine ni wa kijinga sana,mh.sugu ni mbunge wa mbeya mjini mradi upo wilaya ya Rungwe kwenye majimbo yote mawili busokelo[Rungwe mashariki] na Rungwe magharibi ambako wabunge wake ni mwakibete na S.H Amon,hapo sugu anahusikaje mpaka useme kwisha habari yako anakula hela za mfuko wa jimbo!!!! MAHABA YA KIJINGA YAEPUKE YASIJE KUTIA UPOFU WA KIAKILI.
 
Hivi barabara ya KK kwenda ileje sijui lin wataiona maana kodi inayokusanywa soko la ikuti si ndogo.
Wakisikia kuna kiongoz anakuja wanaiburuza vumbi baadaye yanabak mashimo.

Shule ya msingi na sekondar Ikuti na hospital kutwa michango wananch kujutolea SIO MBAYA VIZURI.

Ila ni vip watapataa pesa yakujitolea ikiwa barabara ni ya misimu?
Umeme nao wameweka nguzo sasa sijui za kumzugia kiongoz atakaye kuja kuzindua HOSPITAL YA IKUTI ambayo kung'oa jino tu tsh.20000..

Maji ya kunywa kufulia kuoga kupikia wanatumia MTO RUMBE .

Wandali na wanyaki amkeni bana.
Jana viongoz wameshikana uwizi wa mabati ya ujenzi wa hospital ya Ikuti Kiwira.
Mkuu wa wilaya sijui mkoa anatoa amri yalejeshwe badala yakuwaambia wakamwonyeshe yaliko.
Yangefeli mngewachangisha wananch wakisema hawana pesa mnawakamata.

Nasikia Raisi ameagiza kila nyumba kuanza kulipa tsh.3000 tunasubiri tamko lake.

ASANTE MASOPYAKYINDI ANZISHA UZI MAALUMU YA WANA MBEYA.
 
Back
Top Bottom