Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
- Thread starter
- #41
usijali Kaveli,kulima nitalima nishakuwa mzoefu.....😀😀😀😀😀
Basi mwororoo.
Yep mrembo wangu, tunakomaa na jembe then after miezi 10 tu nakununulia ka-IST ka kwendea salon.
Lakini hujanijibu baby, je 'kichongeo cha penseli' kitamudu kazi on daily basis?
-Kaveli-[/QUOTE]
hapo sasa,.......................😕😕😕
kwani na wewe unakula maugali,ukipanda kifuani haushuki??
niambie nijuue kabisaaaa km nakuja kukupa kichongeo ama kulima..the teh