Asante Magufuli kwa kutupa elimu bure

Asante Magufuli kwa kutupa elimu bure

waambie mkuu
Tatizo hawa sijui siyo watanzania? Yaani hawana ata chembe ya uzalendo kwao kila kitu n hamna... kweli ad utendaji wa mh rais mmeshindwa kuuona? Sasa sjui mnataka rais wa aina gan.
 
Hakuna rais kama huyu,kwa sisi wanyonge tunajivunia wewe je?kaboresha elimu sasa hivi watoto wetu wanasoma bure hadi raha sitachoka kumpenda na kumuombea

HEKO JPM,WENYE WIVU WAJINYONGE
andika na namba yako ya simu AJIRA YAKO KUBWA IPO NJIAN
 
Kuna wengine wanampenda Lowasa pia kila siku hawaachi kumtajataja humu.
 
Hakuna rais kama huyu,kwa sisi wanyonge tunajivunia wewe je?kaboresha elimu sasa hivi watoto wetu wanasoma bure hadi raha sitachoka kumpenda na kumuombea

HEKO JPM,WENYE WIVU WAJINYONGE
MAGUFURI ndio nani?
 

Hivi kuna elimu ya bure?
Huku ni kupoteza muda, watakuja kujisomesha wenyewe wakikua
Kwa sasa wanahudhuria shule tu
 
Back
Top Bottom