Asante kwa Squad nzima ya Simba SC, ila hawa watu wametufikisha nchi ya ahadi

Asante kwa Squad nzima ya Simba SC, ila hawa watu wametufikisha nchi ya ahadi

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,913
Reaction score
133,926
Mungu ibariki Simba Sc nzima

Heshima kwa wachezaji wote, bench la ufundi, uongozi na mashabiki dunia nzima, mmetuheshimisha sana.

Pamoja na timu nzima kutupeleka fainali lakini wapo watu ambao majina yao inabidi yaandikwe kwa wino mwekundu wa moto..Majina yao yaandikwe sio kwenye kuta za Simba tu bali za Tanzania kama nchi.

1. Fadlu Davids
2. Elie Mpanzu
3. Jean Ahoua
4. Pinpin Camara
5. Kibu Denis Kibu Denga
6. Yusufu Kagoma
7. Hamza Spear Jr

#Simba Nguvu Moja
 
Mungu ibariki Simba Sc nzima

Heshima kwa wachezaji wote, bench la ufundi, uongozi na mashabiki dunia nzima, mmetuheshimisha sana.

Pamoja na timu nzima kutupeleka fainali lakini wapo watu ambao majina yao inabidi yaandikwe kwa wino mwekundu wa moto..Majina yao yaandikwe sio kwenye kuta za Simba tu bali za Tanzania kama nchi.

1. Fadlu Davids
2. Elie Mpanzu
3. Jean Ahoua
4. Pinpin Camara
5. Kibu Denis Kibu Denga
6. Yusufu Kagoma
7. Hamza Spear Jr

#Simba Nguvu Moja
Mangungo
 
1000274908.jpg

Utaniua mimi jmani jana sijalala kabisa
 
Back
Top Bottom