"Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

"Asante kwa kunipenda" huwa inakera sana

Thani10

Member
Joined
May 11, 2018
Posts
20
Reaction score
13
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
 
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
kucheka ruksa
 
Hahaaaa. Lol


Inategemea na aina ya kamba unazozirusha Mkuu huenda ikawa kamba zako zinaendana kabisa na hiyo ahsante.
Ni kweli ila siyo kwa kamba zangu,ukiona mpaka nimekuja kuyatoa ya moyoni humu inabd uelewe kuwa Simba akikosaga nyama anakula majani.......
 
Hahaaaa. Lol


Inategemea na aina ya kamba unazozirusha Mkuu huenda ikawa kamba zako zinaendana kabisa na hiyo ahsante.
Kwakweli anatakiwa aseme direct nataka ile kitu namesa mwensie. Sasa kama anamwambia Dada nimekupenda, hayo ndo majibu yake
 
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
Kawaida sana ujue hataki kuku discourage ukaumia ndo maana anakujibu hivyo we potezea utakwua na amani sana tu.
 
Kuna dada mmoja namfukuzia kishenzi lakini kila nikirusha kamba zangu naambiwa ASANTE kwa Kunipendaa...
Daaaaah huwa inakera kiasi kwamba hadi inaboa asa kwa hiyo Asante nimekupa nini?
Funguka kama ushawahi kuexperience hiloo na mbinu za kujikwamua juu ya hilo?
akikujibu hivyo anza kujiongeza...
Honga tu..vi outing nk..ule mzigo huo
 
Back
Top Bottom