Samahani kwa kuuliza, masega ni nini?
sega ni ghala la nyuki ambamo asali huhifadhiwa.
Nadhani wanaitengeneza wenyewe nyuki ndani ya mzinga au tobo la kwenye mti.
RR nawe kwa kujikuta mzungu?
sega ni ghala la nyuki ambamo asali huhifadhiwa.
Nadhani wanaitengeneza wenyewe nyuki ndani ya mzinga au tobo la kwenye mti.
RR nawe kwa kujikuta mzungu?
Samahani Kiswahili ni lugha yangu ya kwanza ila hilo neno nilikua silijui. you can't blame me for that. Asanteni kwa kunijuza.Mwambie me sisemi..muda kidogo atauliza mgagani ni nini......Niongeze kidogo inaitwa pia mkate wa nyuki
Samahani Kiswahili ni lugha yangu ya kwanza ila hilo neno nilikua silijui. you can't blame me for that. Asanteni kwa kunijuza.
kuleni masega kwa uangalifu
wakati mwingine, nyuki hai hubaki humo
wasije wauma mdomoni sega likabadilika na kuwa shubiri.
Sijaanza kula leo....miaka dahari
khatari hii sasa.
Mtu upigwe dena na nyuki...
kwa hiyo mkuu pz unakula nnta..